I see! Kwahiyo unawaogopa wahehe kwa sababu mzee Mfugale hajawatendea haki wafanyakazi wa Peacock? Au una lingine?Huyu si mhehe huyu, sasa naanza kuwaogopa wahehe
Unaanza kuwaogopa!?ulikuwa huwajui?,wana roho mbaya,most of them!
Kazi zilvyo ngumu tumikia kafiri upate mradi wako.
Siku nyingine waambie hao jamaa waanzishe hoteli zao, hata kama ni mama ntilie ili wajue changamoto zilizopo.
mtoto gani huyo unamzunguzia?
Sasa waliachaje kazi huku wakiwa hajajipanga na kujua watafanya niji baada ya kuacha kazi?
anaitwa Damas alimsomesha mambo ya hotel,alishawahi kuwa director of studies national college of tourism.aliacha kazi kuendeleza biashara za baba yake.Mtoto gani huyo unamzunguzia?
Wewe na nawe ni hamnazo kupita kiasi. Inaonekana wewe unatetea walionacho na kudharau wasio kuwa nacho!!! Kumbuka na wewe Nape akiondoka madarakani utakuwa huna pa kushika. Anyway wahi Lumumba ukachukue book zako mbili leo tayari umetimiza wajibu kwa kuchangia JF!!!! Unatetea kunyanyaswa kwa Watanzania wenzako bila kujali kama mnyasasaji ni Mtanzania mwenzetu au mgeni? Njaa ni mbaya sana!!!
Tiba
Tiba
Tatizo la watanzania kama hawa ni kutokuwa na moyo wa kudhubutu.Mtu anaridhika kuajiriwa na hana ndoto za kujitegemea.Wewe na nawe ni hamnazo kupita kiasi. Inaonekana wewe unatetea walionacho na kudharau wasio kuwa nacho!!! Kumbuka na wewe Nape akiondoka madarakani utakuwa huna pa kushika. Anyway wahi Lumumba ukachukue book zako mbili leo tayari umetimiza wajibu kwa kuchangia JF!!!! Unatetea kunyanyaswa kwa Watanzania wenzako bila kujali kama mnyasasaji ni Mtanzania mwenzetu au mgeni? Njaa ni mbaya sana!!!
Tiba
Tiba