Mzee Luhanjo na pigo la mwisho PSPF na TIC

Mzee Luhanjo na pigo la mwisho PSPF na TIC

Sabato masalia

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2011
Posts
228
Reaction score
134
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.
 
Tunamsubiri mtaani aje aonje joto ya jiwe kuishi bila mamlaka
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.

kufa kufaana!
 
Kama ni kweli mungu atamlaani. Huu utaratibu wa mfumo wa kurithishana madaraka ndio unaializa nchi yetu.
 
niambie hao watu wawili wakifanikiwa kupata hizo nyadhifa wataleta madhara gani kwenye hizo taasisi, maana umeuita ni mpango mbovu nami siwafahamu vyema hao mabwana
 
Tunamsubiri mtaani aje aonje joto ya jiwe kuishi bila mamlaka
Hili sahau ndugu, pesa aliyonayo inamtosha kuishi yeye hadi wajukuu zake bila bughudha, na isitoshe bado ana watu kwenye system wanaomlinda!!
 
HIVIi kwa nini huyu mzee anakosa haya na kupanga mipango mibovu kama hiyo? watu wamefanya usaili wapitiwe vyema na kufanyika uteuzi kiuadilifu, inakuwaje yeye anakuwa na majina ya watu wake na kutaka wateuliwe hili ni jambo la hatari sana, sasa kuna umuhimu gani watu kuitwa katika usaili? Luhanjo ameharibu wizara maliasili,nishati na madini bado tu hajifunzi kwa nini anakosa haya mzee mzima huyu?
 
niambie hao watu wawili wakifanikiwa kupata hizo nyadhifa wataleta madhara gani kwenye hizo taasisi, maana umeuita ni mpango mbovu nami siwafahamu vyema hao mabwana

Fisi mkuu kumkabidhi fisi mwenzie bucha hujashtuka bado?
 
Hili sahau ndugu, pesa aliyonayo inamtosha kuishi yeye hadi wajukuu zake bila bughudha, na isitoshe bado ana watu kwenye system wanaomlinda!!
Halafu atapewa kuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na member wa bodi nyingi tu za mashirika au idara nyetu za umma. Atateuliwa na raisi (kama Yusuf makamba) kuwa mbunge halafu anapewa uwaziri.
 
Siku hizi JF imeanza kupoteza mwelekeo, watu wanatoa thread ambazo uhakika wake unatia taabu, Juzi kuna mtu katoa thread Lowasa anguka mara tatu Dodoma. Mpaka leo mtoa hiyo hoja hajafafanua Lowassa alianguka mara tatu kivipi? kwa hiyo wengine tunajizuia sana kuchngia maada zenye mwelekeo wa Udaku, Vinginevyo weka mwanga zaidi , huyo Mshana ni nani yake Luhanjo, vivyo hivyo na Mbilinyi na je hawana vigezo vya kushika nyadhifa hizo.
 
pspf ni kitu gani? masha gani? kama ni yule bitoz jamaa ni resounding failure as a public servent...kweli nchi inaendeshwa kiupofu upofu
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.


Acha majungu toa sababu zinazoeleweke je hao watu hawana sifa kama hawana sifa au uwezo fafanua vinginevyo hayo ni majunngu na watu kama nyie ndio mnaiharibu JF.
 
pls tuwe serious na tuache kutumia hisia mtoa
mada tufafanulie tafadhali
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.

wewe unataka akina nani wapewe?
 
Fisi mkuu kumkabidhi fisi mwenzie bucha hujashtuka bado?

Kichomi na wewe, mimi nimesema hao mabwana siwafahamu vizuri hivyo nilihitaji ufafanuzi zaidi, ukiniambia fisi mkuu na fisi mdogo mimi naona kama hadithi za sungura na fisi, siwezi kushtuka.
 
Majungu, na ujinga tu.

Ndo maana mnaona wakongwe siku hizi tunakaa pembeni. Vijana mnafanya JF kama jukwaa la majungu na unafiki.
- Kwanini hao watu hawafai?
- Luhanjo ndie mwenye mamlaka ya mwisho kuwaweka hao watu na sio rais?
- Nani ulitaka apewe nafasi hizo au mojawapo?
- Usaili ulifanyika na wenye sifa wakatupwa?
- Sifa kwako ni nini? Ma PHD yaliyojazana serikalini huko na hamna kitu au UCHAPA kazi?

Mods hawa waleta hoja za vihoja kama hawa wakishondwa kujibu maswali naomba mume mnaifungilia mbali TOPIC.
 
Sie tulio CCM tunasikitishwa mno na hawa wenzetu, 2015 kazi ipo, kuna hatari nami nasiwapigie kura CCM, haki ya nani, huu ni upuuzi mtupu!
 
Jf the home of great thinkers, let's post our threads in a sensible way too, in a bid to allow others contribute effectively too.
 
Majungu, na ujinga tu.

Ndo maana mnaona wakongwe siku hizi tunakaa pembeni. Vijana mnafanya JF kama jukwaa la majungu na unafiki.
- Kwanini hao watu hawafai?
- Luhanjo ndie mwenye mamlaka ya mwisho kuwaweka hao watu na sio rais?
- Nani ulitaka apewe nafasi hizo au mojawapo?
- Usaili ulifanyika na wenye sifa wakatupwa?
- Sifa kwako ni nini? Ma PHD yaliyojazana serikalini huko na hamna kitu au UCHAPA kazi?

Mods hawa waleta hoja za vihoja kama hawa wakishondwa kujibu maswali naomba mume mnaifungilia mbali TOPIC.

Mkongwe wewe umekuwa sugu hadi ujiite mkongwe?
 
Back
Top Bottom