Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.
mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.
mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.