Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,322
- 24,192
Mkuu umasikini hauna kosa ila wivu, riho mbaya, kijicho na fitina vilivyowajaa watu wengine.Umasikini ukizidi ndiyo matokeo yake haya. Unawaona wenye hela ni mafisadi
Pambana upate hela.
Mahakama imemuachia huru kuwa hana kosa. Nenda mahakamani ukaanzishe kesi upya.
Masikini wanaroho mbaya sana. Ndiyo maana kuna jamaa alisema
Usimsaidie masikini acha afe
Unataka nini km mahakama pamoja na vyombo vya Habari vimetangaza hana hatia?
Wewe na mahakama nani mwenye haki?
Ndugu zangu km mnanisikia ukiona umeanza kupata hela na michongo inatiki unatakiwa uhame uswahili chap. Ni bora ukae chumba cha laki 3 kwa mwezi kuliko kukaa chumba cha 50 uswahilini.
Na mwendazake yumo humo.