Mzee kipara afariki Dunia

Mzee kipara afariki Dunia

Nyanya mbichi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
3,716
Reaction score
2,218
Swebe amethibitisha kutokea kwa kifo cha msanii saidi fundi maarufu kwa jina la mzee kipara. Source east afrika radio.
 
Muigizaj nguli MZEE KIPARA AFARIKI DUNIA.
R.I.P.BABU
 
Aliyekua msanii wa kaole group al-maharufu mzee kipara amefariki dunia leo.mazishi yanafanyika kigogo

Source:Swebe akihojiwa na Supamix EA Radio
 
R.I.P

yaani wasanii wameshindwa kusaidia maisha ya huyu mzee?
 
dah huyu mzee namkubali sana R.I.P mzee Kipara
 
R.I.P

yaani wasanii wameshindwa kusaidia maisha ya huyu mzee?

IMG02149-20110917-1829.jpg

IMG02148-20110917-1829.jpg

IMG02147-20110917-1828.jpg
 
Mungu amrehemu, mzee huyu alikuwa ni kati ya wasanii wa ukweli wa kizazi chake.
 
R.I.P mzee Kipara
alikuwa anapatia sana kuigiza kama mtu mwenye msimamo mkali
 
Back
Top Bottom