TANZIA Mtoto Nilsa afariki dunia akipatiwa matibabu MOI

TANZIA Mtoto Nilsa afariki dunia akipatiwa matibabu MOI

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,152
Simon Mnyola Baba mzazi wa mtoto Nilsa Mnyola amethibitisha kifo cha mtoto wake wake aliyezaliwa na tatizo la kichwa kikubwa (Hydracephalus) alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).

Nilsa ni mtoto aliyezaliwa kabla ya muda (njiti) na baada ya kuzaliwa mwonekano wa kichwa chake ulikuwa tofauti na watoto wengine.

Nilsa alifikishwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kugharamia matibabu ya mtoto wake Nilsa Simon kufuatia ombi lake kupitia mitandao ya kijamii mtoto wake asaidiwe matibabu ambapo Crown Media ilichapisha katika kurasa za Mitandao ya Kijamii.
1768767969090.png
 
To be honest bora huyu mtoto kupumnzika. Kwanza nilikuwa najiuliza hawakuona kwenye Ultra Sound ?Maana wangeweza kuterminate mimba. Sleep easy baby. 🥲
Tatizo mabinti wa 2000 hawataki kabisa kutumia folic acid.halafu mtu ananza clinic mwezi wa saba
Pia serikali nayo inashindwa hata kuwapa wajawazito folic
 
Back
Top Bottom