kajirita
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,575
- 635
Dr Slaa aliwahi kushiriki shughuli gani za ujenzi wa Taifa?
Mnadanganywa kama mitoto!Yaani ziara ya siku moja baada ya miaka nane,halafu mnamsifia?Dr Slaa hawezi hawezi fanya ulaghai wa namna hii!Angalia sasa alivyopozi apigwe picha ili zikawekwe front page ya gazeti la Uhuru!
Acheni siasa za kilaghai!Hii ni zaidi ya bongo muvi!