Mzee Kinana muda wake umepita. Raisi anatakiwa atafute makamu ambaye anaweza kufanya vitu kwa manufaa ya umma kwa ujumla wake na sio kwa CCM pekee. Kwa mwenendo wa sasa watu wasio elewa wataona ni powa lakini tukiendelea hivi katiba itakuja kwa ulazima na uchungu sana.
Kuna uwezekano kabisa mpaka katiba ije Muungano utakuwa umefikia pabaya. Uhasama ambao unaanza wa watu kuelimishwa kwamba wanzanzibari wanapendelewa kitu ambacho ni kweli utakuwa umeota mizizi kiasi kwamba mtihani wa katiba utaleta vurugu kwenye nchi. Ni bora sana kufanya sasa mambo ya katiba kuliko baadae. Raisi Samia anajifikiria yeye tu bila kujua miaka ijayo akiwa amestaafu atakuja kujuta kwa mambo yatakayo tokea miaka ijayo.
Kwa kuanzia Kinana ambaye anafikiria biashara zake tu ni lazima wasisikilizwe na waje wazee wengine wenye maono.
Yaani ni bora mzee Pinda kuliko jangili Kinana
Kuna uwezekano kabisa mpaka katiba ije Muungano utakuwa umefikia pabaya. Uhasama ambao unaanza wa watu kuelimishwa kwamba wanzanzibari wanapendelewa kitu ambacho ni kweli utakuwa umeota mizizi kiasi kwamba mtihani wa katiba utaleta vurugu kwenye nchi. Ni bora sana kufanya sasa mambo ya katiba kuliko baadae. Raisi Samia anajifikiria yeye tu bila kujua miaka ijayo akiwa amestaafu atakuja kujuta kwa mambo yatakayo tokea miaka ijayo.
Kwa kuanzia Kinana ambaye anafikiria biashara zake tu ni lazima wasisikilizwe na waje wazee wengine wenye maono.
Yaani ni bora mzee Pinda kuliko jangili Kinana