Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Mke wa raisi anatunzwa na kodi zetu mpaka ukamilifu wa maisha yake, ana haja gani ya kurudi kukaa vumbini kuomba kura? Mbona mama Nyerere, Mama Siti na mama Mkapa hawakurudi kuwa wabunge?Hahahaaa! Tamaa ya nini?!