Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,467
- 283,810
Naona vijana mnachochea kuni tu !Kazi imekolea jamani
Siasa hizo watu ni wale wale jaman
Hivi hakuna wengine eti
Naona vijana mnachochea kuni tu !Kazi imekolea jamani
Siasa hizo watu ni wale wale jaman
Hivi hakuna wengine eti
Aisee mbona unataka kuturudisha kwenye matapishi!! Mbona unawaza pumba kiasi hicho mkulungwaMh. Rais mstaafu Jakaya Kikwette tunayo matumaini makubwa kwenu kuwa ule muda ambao taifa hili limeusubiri mno hatimaye umewadia.
Ni wazi kuwa kila mtu katika nchi hii angalipendelea tuishi sote kwa usawa na haki. Utashi wa viongozi wa juu katika kufanikisha hayo ni jambo la muhimu sana.
Kufanya maamuzi magumu yatakayorejesha imani ya wananchi kwa nchi yao itakuwa jambo la msingi mno kwa sasa labda kuliko jambo lolote lile.
Pana watu wakiwamo watia nia wengi waliojaribu kuutaka urais na kura kuwa hazikutosha hali nafasi ni moja wakiwamo akina:
1. Asha Rose Migiro
2. Mzee Mwandosya
3. Bernard Membe
4. Mizengo Pinda
5. Frederick Sumaye
6. Edward Lowassa
7. Abdulhaman Kinana
8. Philip Mangula
9. Anna Mghwira
10. Dkt. Slaa
11. Dkt. Nchimbi
12. Nk nk
Watu ambao hawakuwamo ndani ya establishment ya sasa au wale waliokuwa na maoni tofauti kuhusiana na establishment ya sasa kwa hakika wangetufaa sana.
JK tupeni raha kwa kuandaa mustakabala mwema utakaotuletea mwanzo mpya.
Sio wa jamii ni wa madikteta.umenikumbusha kauli ya Kingunge Gombale Mwiru aliyoitoa alipoulizwa kuwa "kwanini Serikali inabana Uhuru wa vyombo vya habari?", alijibu kuwa "Uhuru wako(mwanahabari) unaishia pale ambapo uhuru wa mwenzio unaanzia".
In some cases vyombo vya hbari ndiye adui mkuu wajamii
Makongoro Nyerere anafaa zaidi
Kwan ww mpaka sasa hujatambua kuna korona! Hv mijitu mieusi kama ww kawaloga??Tunataka mwanzo mpya. Utakaotambua nchi ni yetu sote. Utakaotambua tuna janga la Corona. Utakaotambua katiba mpya ni agenda yetu muhimu.
Mwanzo utakaotambua maendeleo ya watu nayo ni muhimu tena zaidi ya maendeleo ya vitu.
Aisee mbona unataka kuturudisha kwenye matapishi!! Mbona unawaza pumba kiasi hicho mkulungwa
Hivi hakuna uwezekano akawa ni ndugai? Au wadhifa alionao unamzuia? Tuanzie hapo kwanza maana watu tunamtupia sana jicho bashiru.Huo ni mfano wa outsiders ndani ya CCM usiyekuwa ya sasa.
Tunahitaji mabadiliko kamili.
Wote hao wanaweza kuwa bora kuliko:
1. Majaliwa
2. Ndugai
3. Simbachawene
4. Chenge
5. Mwigulu
6. Kabisa
Na wa namna hiyo.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwan ww mpaka sasa hujatambua kuna korona! Hv mijitu mieusi kama ww kawaloga??
Mabandiko yangu yote umeyaona? Uzi huu je uliona?
![]()
Kwako mama Samia: Tuko nyuma yako, ila...
Mabibi na mabwana ushauri wa bure kwa mama yetu mpendwa Mama Samia. Salamu tokea kwa mh. rais popote alipo tumezipokea. Muhimu naye akatufikishia zetu kwake mzee baba. Hapa tulipo misingi ya haki imepotea. Chuki imetamalaki, maisha yamejaa ukakasi, uhuru wa watu kusema na hata kujifanyia...www.jamiiforums.com
Chatto wazima lakini?
Watamkumbuka.Alipambana mwenyewe
Na samia asipofanya mnayoyataka mtamchukia..
Bado unataka data za corona?
Ndo maaana nasema MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDIUlisikia tunapenda mtu?
Hali maisha ya watu tutakupenda sana.
Wewe baradhuli maisha ya watu huna time nayo. Wa kufa afe wa kuishi aishi. Hatutaki maisha hayo ya bahati nasibu.
Hiyo ndiyo habari yenyewe!
Wewe ni Mchawi na Mnafiki ,adui wa Taifa. Yaani unataka Kikwete akuchagulie kiongozi? Wewe una akili kweli? Kama unampenda sana kikwete si ukanywe naye Kahawa? Mafisadi mnaanza kufurahi mkijua mnarudi kuibia wananchi.
Ila aliletwa na mstaafuMagufuli hakuletwa na mkwere, huyu mkwere alimtaka Membe!! Jiwe alilijua hilo na ndio maana alimpiga spana asimuinfluence katika maamuzi yake! Acha uongo wako.
Haaa haaa haaa kipindi hicho alikuwa anapambana na mabarabara hakuwa na habariAlipambana mwenyewe
Kama ulikuwa udikteta basi ni mara mia uendelee kwani ndipo nchi imeonekana kuwa sio maskini kama tulivyokuwa tunaaminishwa.Alipoishia pale kwa udikiteta?
Ndo maaana nasema MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDI
Ndiyo Polepole awe VP? mmm haya sawa endelea kumuombea ili nyota yake iendelee kung'aaMkuu tufanye je VP atakuwa mtanzania bara na kutokea CCM. Hawezi VP kutoka mbinguni.
Vijana ndiyo kama hao. Wazee ndiyo wale. Wapo waliokuwa karibu sana na jiwe na wapo waliokuwa nje. Pia wapo waliowahi kutofautiana naye kimawazo hadharani.
Humo ndimo tunamwomba mzee mkwere kutotuangusha.
Au nasema uongo ndugu zangu?