Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,139
- 13,264
Kama hawajulikani unajuaje kama wameanza kumtafuta jamaa?
Ohooo. Umeninukuu vibaya.
Kama hawajulikani unajuaje kama wameanza kumtafuta jamaa?
Wacha uongo wako hapa Balozi Job hawezi kuzaa tilatila namna hiyo!
we mtoto wa daudi kwa bathsheba si alikufa yule??Mfalme Daudi alimchukua mke wa mtu, hatimaye akamzalisha mtoto aliyekuja kuurithi ufalme wake (Mfalme Sulemani). Ujue kuna supernatural forces inalazimisha mambo hayo japo siyo rahisi kuyaeleza kwenye ulimwengu wa damu na nyama.
Imkugusa etieeNa wewe unajiita mwana habari ?
Hata kama umeishia darsa la tatu huwezi kuandika hivi
Kina nani tena hao mkuu?Lakini ndio ujue hapa Tanzania kuna viongozi wa ngazi za juu kabisa wamevamia wake za watu na kuzaanao kweupe.
Baada ya hayo, Daudi akamjua tena Bathsheba, naye akamzalia mtoto wa kiume akamuita Sulemani.we mtoto wa daudi kwa bathsheba si alikufa yule??
naona unamtafutie mwenzio balaa ...hahaa watu wa humu Jf bhanaaHebu tufafanulie kidogo maana wengine wageni hapa mjini. Huyo uliyemtaja anahusikaje na mada hii?
Kumbuka slogan ya JF, where we talk openly!
uko tayari kushuhudia unayo yasema wewe binti? una hakika au unafata mkumbo?Kuna toufauti mambo hayo yakifanywa na head of state
na mimi Nina ombi kama lako mkuuNaomba mu mtag JIWE.
Nimetaja jina la mtu au nchi?uko tayari kushuhudia unayo yasema wewe binti? una hakika au unafata mkumbo?
Hapo sawa!!Baada ya hayo, Daudi akamjua tena Bathsheba, naye akamzalia mtoto wa kiume akamuita Sulemani.
ajibu mapigo wapi "" ndio kamalizwaKazi kweli kweli. Balozi wetu kule china kaamua kutulia tu.. Ipo cku atajibu mapigo. Miaka ijayo
Wanawake hampendani..! Hata ungekuwa wewe ungeanzaje kukataa, kwa mfano?Mzee umeongea jambo la maana sana, Wizi wa wake za watu haukubaliki
kwakuwa umezoea kupora wake za watu lazima useme hayo maneno ...tulia tu dawa ikuingieupumbavu mtupu........taka taka
Kama kawaida yenu huwa hamkosekani wazee wa kufosi peasi kuwa appleMfalme Daudi alimchukua mke wa mtu, hatimaye akamzalisha mtoto aliyekuja kuurithi ufalme wake (Mfalme Sulemani). Ujue kuna supernatural forces inalazimisha mambo hayo japo siyo rahisi kuyaeleza kwenye ulimwengu wa damu na nyama.