Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Ukiwa Kiongozi lazima uwe mfano katika kuongea, kutenda, kuvaa na unavyoongea na watu. Usiwe mla rushwa, mfanya magendo, mwizi. Sio unatumia madaraka na cheo chako kuvamia na kuchukua mke wa mtu