Bila maridhiano kupata theruthi mbili kwa upande wowote ule kwa Zanzibar itakuw ani ngumu, kama viongozi wetu hawataonyesha njia ya sisi kuwa wamoja kwa hoja moja kupatikana kwa theruthi mbili aidha za kuunga mkono S#3 au S#2 haitawezekana.
Hizo S2 mbona hazimo kwny Rasimu II?