Chikaka Sumuni
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,337
- 773
Hivi Warioba ni Chadema???
Mkuu kwa vile uko ughaibuni na Maccm yanawatetemekea nyie mliolowea na kuamua kuwa watumwa nchi za wengine, naomba sana uwashauri ccm na hasa vigogo wafanye kile tunachokiita kibiashara "Market Survey" kwa maana kwamba wafanye random study kwa kuwatumia wale vijana wa idara nyeti wapite sehemu mbalimbali waliko wakaulize wananchi ni wangapi wanakubaliana na "RASIMU YA TUME YA JAJI JOSEPH SINDE WARYOBA" Halafu ndio watwambie matokeo yake, na kama hiyo hawataweza wawatumie kile Kitengo chaocha UDSM chini ya Dr. Bana yaani "REDET" wawafanyie sudy kabla hawajapotezwa kenye ulingo wa siasa nchini. Majivuno kwamba mnashinda Kalenga, Chalinze wakati mmetumia Tume, fedha na vitisho na bila aibu mnajivuna ni dalili za ukosefu wa akili timamamu yaani ni upunguani.
Kama wajumbe wenu wanashindwa kujieleza kwenye midahalo halafu kwenye uchaguzi ndio mshinde ama kweli hili ni ajabu la Tisa la Ulimwengu liandikwe tu kweny Guiness Book of Records