Kazi ya Warioba imekwisha na Kitalu chake cha Tume kimefungwa, huu ni muda wa Bunge la Katiba hana cha kuzuia, kamamvipi ajiunge na UKAWA!
Salome dada mbona mkali hivyo?
Kazi ya Warioba imekwisha na Kitalu chake cha Tume kimefungwa, huu ni muda wa Bunge la Katiba hana cha kuzuia, kamamvipi ajiunge na UKAWA!
Achana naye huyo, ukiona mtu anakuwa mkali kwenye mambo kama hayo ujue HANA HOJA!
Imebaki kazi ya intarahamwe![/QUOTE]
Kwa maana hiyo katiba ijayo itakuwa si ya wanainchi bali ya Interahamwe.
Hivi Warioba ni Chadema???
Kazi ya Warioba imekwisha na Kitalu chake cha Tume kimefungwa, huu ni muda wa Bunge la Katiba hana cha kuzuia, kamamvipi ajiunge na UKAWA!
Hivi Warioba ni Chadema???
Hivi Warioba ni Chadema???
huyo kijana lukyosi hana jipya kitabia maana toka atafune rambirambi za mwangosi ni kama ana kalaana kazito kweli!
Kipindi kitarudiwa lini? Sikuweza kuona jana