Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,180
- 20,960
Hivi ndugu yangu, naomba nikuulize huwa unajua unachoandika au unakurupuka tu usingizini na kukimbilia kwenye keyboard.
Achana nae huyo mkuu, hamjui vizuri Father Kitima!
Hivi ndugu yangu, naomba nikuulize huwa unajua unachoandika au unakurupuka tu usingizini na kukimbilia kwenye keyboard.
Unanihakikishia kuwa nikija huko hamtanibambikia kesi ya ugaidi? maana CCM Bwana! kazi kweli kweli.mkuu betlehem nipo karibu sana Gongs ule matunda ya CCM!
Unanihakikishia kuwa nikija huko hamtanibambikia kesi ya ugaidi? maana CCM Bwana! kazi kweli kweli.
Salam Wana JF,
Bila kutarajia asubuhi hii nimejikuta nalazimika kuitazama television ya TBC1 kwakua mazingira niliyokuwepo ndio channel pekee ya nyumbani inayoonekana.
Mtangazaji wa TBC1 amemkaribisha studio mzee Farijala ambaye ni kada wa CCM. Katika mazungumzo yake amejikita katika kumshambulia aliyekuwa Makamu Mkuu wa chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) cha Mwanza Dkt. Charles Kitima, kwamba pamoja na kuwa amesomeshwa na CCM lakini amekuwa akiikisoa sana na kuilaumu serikali ya CCM.
Mzee huyo anadai kuwa anamfahamu sana Dkt. Kitima kwamba ametoka katika familia duni sana alikuwa akivaa kaniki lakini leo hii amesahau fadhila ya serikali ya CCM.
Pia amezungumzia wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kutofanya siasa kwa madai kuwa wako vyuoni kusoma na si kufanya siasa akitolea mifano vyuo vya SAUT TABORA NA SAUT MWANZA.
Mwita Maranya
Hivi mtu akisema una mapengo atakuwa amekushambulia au ameeleza hali halisi?
cc Ritz, Chilisosi
Huyo mchovu Farijala ana degree ngapi alizozipata kwa kusomeshwa na CCM?
Salam Wana JF,
Bila kutarajia asubuhi hii nimejikuta nalazimika kuitazama television ya TBC1 kwakua mazingira niliyokuwepo ndio channel pekee ya nyumbani inayoonekana.
Mtangazaji wa TBC1 amemkaribisha studio mzee Farijala ambaye ni kada wa CCM. Katika mazungumzo yake amejikita katika kumshambulia aliyekuwa Makamu Mkuu wa chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) cha Mwanza Dkt. Charles Kitima, kwamba pamoja na kuwa amesomeshwa na CCM lakini amekuwa akiikisoa sana na kuilaumu serikali ya CCM.
Mzee huyo anadai kuwa anamfahamu sana Dkt. Kitima kwamba ametoka katika familia duni sana alikuwa akivaa kaniki lakini leo hii amesahau fadhila ya serikali ya CCM.
Pia amezungumzia wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kutofanya siasa kwa madai kuwa wako vyuoni kusoma na si kufanya siasa akitolea mifano vyuo vya SAUT TABORA NA SAUT MWANZA.
Msomi wa chuo kikuu?! Kwa taarifa yako huko vikuu ndio kuna wasomi wanao tumika kuliko unavyofikiri! Hivi unajua mbunifu wa kauli mbiu "Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya?", unamjua mbunifu wa kauli mbiu "Maisha bora kwa kila mtanzania?" Ni mtu mahiri aliye chuo kikuu! Ukiulizwa kauli mbiu zake zimefanyaje kazi kupitia mtu aliye muandikia utashangaa! Au hujui kuwa hata aliye sema "We will mafucture teachers" naye ni msomi wa chuo kikuu cha dsm?! Au hujui kuwa hata aliyesema kuwa "Sijui sababu za wananchi wangu kuwa maskini?" Naye ni mshika shahada wa chuo kikuu bora Afrika
Muambie huyo msomi wako wapenda vya bure ni wale wanao hongwa chumvi, kofia, t shirt na khanga ili wachaguliwe.
Tumia akili usitumike tu bila kushirikishaa ubongo wako.
eti njaaaa...... na wenye njaa utasemaje.....Yule kitima ni janga kuu la taifa, mtokwa povu tu. Njaa inamsumbua
Yule kitima ni janga kuu la taifa, mtokwa povu tu. Njaa inamsumbua