meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
- Thread starter
- #41
Lol!!kweli ubinadamu kazi kweli kweli yaani kuna tofauti gani kati ya Nyerere na wananchi wengine kwani yeye Nyerere alikuwa hapigi mswaki kama sie tufanyavyo au alikuwa hajambi kama wewe,ama kweli wahenga walisema mjinga hajitambui.Kumbuka kuwa Rais wa nchi hii ni dhamana tu lakini we're the same hata wewe unaweza kupata dhamana kama hiyo.There's no special one in Politics/Presedintial only ''Jesus is the special One''!!
kwa hiyo hukubali kuwa alikuwa baba wa taifa?