Mzee Edwin Mtei alimuomba Nyerere kujiunga na CHADEMA

Mzee Edwin Mtei alimuomba Nyerere kujiunga na CHADEMA

mzee Mtei anaweza kutimiza ndoto yake sasa
 
Hii nimeisikia leo kwenye vichwa vya habari vya magazeti.

Mzee Mtei aliwahi kumuomba Nyerere (baba wa taifa) kujiunga na CHADEMA. Nyerere aliduwaa na kuomba kikombe cha chai!

Shahidi ni Mama Maria Nyerere.
Wakati anamuomba wewe ulikua wapi? Kwenye kabati, kwenye stuli, kwenye sahani iliobeba chai, au ndani ya chupa ya chai?
 
Kuna watu usishangae meningitis wamezuka watu wansema Nyerere ni kawaida!

Magufuli anapita nchi nzima akisema Kikwete ndo kafanya historia, waliomtangulia akiwemo Nyerere hawajafanya kitu.

Siku moja nilikutana na mawaziri wawili wa Kikwete wanatamba hivyohivyo kuwa wamefanya maajabu kuliko Nyerere, hiyo ndo nchi yetu!
Kila jambo na wakati wake jamani!
Hii amani tungeipata wapi kama siyo Nyerere?
 
Kuna watu usishangae meningitis wamezuka watu wansema Nyerere ni kawaida!

Magufuli anapita nchi nzima akisema Kikwete ndo kafanya historia, waliomtangulia akiwemo Nyerere hawajafanya kitu.

Siku moja nilikutana na mawaziri wawili wa Kikwete wanatamba hivyohivyo kuwa wamefanya maajabu kuliko Nyerere, hiyo ndo nchi yetu!
Sasa hivi anadai ni yeye ndio kaleta maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom