Nyerere alifanya nini zaidi ya kuiwacha nchi maskini wa mwisho duniani?
ndio maana nimekiri kuwa siwezi kujilinganisha na mwalimu.Wewe umefanya nini hadi ujilinganishe na Nyerere? JK sote ni mashuhuda kafanya mambo wengi, wewe hata kupeleka kipamde cha sabuni nyumbani tabu.
eyes can not see if the mind does not know!sijaona cha ajabu hapo mleta thread..
Labda tumjaribu Lipumba. Hivi itakuwa mara ya ngapi akigombea tena?Nyerere alifanya nini zaidi ya kuiwacha nchi maskini wa mwisho duniani?
Hii nimeisikia leo kwenye vichwa vya habari vya magazeti.
Mzee Mtei aliwahi kumuomba Nyerere (baba wa taifa) kujiunga na CHADEMA. Nyerere aliduwaa na kuomba kikombe cha chai!
Shahidi ni Mama Maria Nyerere.
Kwani Nyerere alikuwa Mungu?
Mtei is parallel to Nyerere in every way, politically and philosophically.Hii nimeisikia leo kwenye vichwa vya habari vya magazeti.
Mzee Mtei aliwahi kumuomba Nyerere (baba wa taifa) kujiunga na CHADEMA. Nyerere aliduwaa na kuomba kikombe cha chai!
Shahidi ni Mama Maria Nyerere.
Kwani yeye fisadi kama kikwete na familia yake hadi awe na msaada wa kitu kidogo? Msaada anaoutoa kwa jamii yake ni mawazo na fikra, sio ufisadi wa kikwete.
Hii nimeisikia leo kwenye vichwa vya habari vya magazeti.
Mzee Mtei aliwahi kumuomba Nyerere (baba wa taifa) kujiunga na CHADEMA. Nyerere aliduwaa na kuomba kikombe cha chai!
Shahidi ni Mama Maria Nyerere.
Mtei is parallel to Nyerere in every way, politically and philosophically.
Huwa nawashangaa sana wana CDM wanaojaribu kuwalinganisha Mtei na Nyerere.
Mtei can best be comnpared to Mkapa.... not Nyerere.
Nyerere can be compared to Mugabe.
Hii nimeisikia leo kwenye vichwa vya habari vya magazeti.
Mzee Mtei aliwahi kumuomba Nyerere (baba wa taifa) kujiunga na CHADEMA. Nyerere aliduwaa na kuomba kikombe cha chai!
Shahidi ni Mama Maria Nyerere.
ccm yetu hii utamwalika nani mwenye nafuu .
Na Wewe una matatizo gani Embu weka yako kwanza hapa kabla yakuanza kujadili ya Mtei manake hayo magamba uliyonayo yantakiwa tuyakakate kwa lazmaNadhani Mzee mtei ana matatizo fulani fulani, ngoja tusubiri.