meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
Hii nimeisikia leo kwenye vichwa vya habari vya magazeti.
Mzee Mtei aliwahi kumuomba Nyerere (baba wa taifa) kujiunga na CHADEMA. Nyerere aliduwaa na kuomba kikombe cha chai!
Shahidi ni Mama Maria Nyerere.
Mzee Mtei aliwahi kumuomba Nyerere (baba wa taifa) kujiunga na CHADEMA. Nyerere aliduwaa na kuomba kikombe cha chai!
Shahidi ni Mama Maria Nyerere.