Mzee Duni Haji: Kwa mara ya kwanza ndio nimeshuhudia Mkutano wa Siasa Meza kuu Wamejaa Maaskofu, Mapadre na Wachungaji, CHADEMA ni Wadini!!

Mkataba wa Bandari utagawa sana umoja,naona kuna fungu kubwa sana la kutetea ambalo lipo kwa wadini wa ACT- hutoona hata ACT mmoja akikosoa mkataba wa Bandari.

Watawala nao wameona wapitie kwenye wiga wa dini kua anapibgwa kwa sababu ya hijabu yake.

Haya yalifanywa enzi za Kikwete,pale wakina Lipumba,Zitto walipoungana na CCM!!

Rais Samia angetambua kua hakuwahi kuchaguliwa na Watanzania kwa hijabu yake na wala uchaguzi ukija akagombea watu hawatoangalia dini na mavazi yake,bali utendaji wake na uzalendo wake.

Vyema angekemea haya yanayokuja ya kuingiza udini!!
Zitto kashavuta chake mapema
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
kumbe mwinyi ni mzaramo...Duni ni balaa na nusu, mkabila na mbaguzi mbobevu,:D:D
 
ACt ndo chama cha udini kama CUF Ndomana viongozi wote waliotoka CUF Walikimbilia Act kwa Zubeli.
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
Hebu niulize hawa CDM walialika viongoz wa dini zote au walichagua wakristo pekee? Akina mmawia na wenzake watupe fact kama viongoz wa dini nyingine walialikwa wakakataa ama hawakualikwa?
 
makuwadi ya dpworld mwambieni mamayenu arudishe hela za warabu alizohongwa ili kugawa bandar zetu kwa wajomba zake halafu nyie mabwabwa ya ccm mliokosa mwelekeo jiandaen 2025 mnanyolewa bila maji wajinga nyinyi wafuas wa majiz ya kura.
Mnadai bei gani arudishe?
 
Kwanini bwashee?

Duni ameuliza " Kwanini Mbowe alisema Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari na Katibu mkuu ni Mzanzibari?!"
kwa hio sio wazanzibar ni wa wapi kama sio wazanzibar, huyo duni aendelee na chama chake cha waislam wa zanzibar hata mikutano yao kila siku zanzibar maana huku bara hawawez kupata hata diwani.
 
Duni ana akili duni, mbona kwenye mikutano yao huwa tunaona vibandiko tu
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
Mwambie hiyo tilifu ya udini mnayotumia haitawaacha Sala, Zanzibar wapiga kura wapo laki nne tu.
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
Mtu akishaitwa Duni unategemea haya:

Akili duni
Fikra duni
Mtazamo duni
Mawazo duni

Huyo ni Duni hata mtu kumfuatilia mpaka kuleta uzi hapa naye ni duni
 
Mgombea mwenza wa uRais wa Chadema mwaka 2015 Mzee Duni Haji anesema kwa mara ya kwanza tangu azaliwe ndio ameona Kwenye mkutano wa Kisiasa pale Temeke meza kuu Wamejaa Maaskofu Mapadre na Wachungaji

Mzee Duni Haji ambaye alijiondoa Chadema na kujiunga ACT wazalendo anesema Chadema kuna Udini, Ukabila na Unafiki uliokithiri ndio Sababu kila Siku utawasikia Rais ni Mzanzibari ilhali alikuwepo Mwinyi hawakusema Rais ni Mzaramo, alikuwepo Mkapa hawakusema Rais ni Mmawia na alikuwepo Kikwete wala hawakusema Rais ni Mkwere

Yule Magufuli aliitwa Msukuma na Wasukuma wenzake kutukuza kabila lao tu, amemalizia Mzee Duni Haji

Source: ACT wazalendo TV

Mungu wa Mbinguni awabariki😀
Amesahau kuwa hata rais hujitambulisha kuwa ni Mzanzibari?
 
Back
Top Bottom