johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,940
- 141,915
Ukifuatilia Hotuba za Freeman Mbowe, mh Othman Masoud na mzee Duni Haji utagundua Mbowe hata hajui wanachoridhiana na CCM
Mbowe anasema tunahitaji Katiba Mpya bila kuainisha mapungufu ya Msingi ya Katiba ya sasa. Unaposema Rais ana Madaraka makubwa ni lazima ufafanue na kutoa sababu, Tanzania Siyo nchi ya kifalme hivyo ni lazima Rais atakuwa na Madaraka makubwa
ACT Wazalendo katika kila mkutano wanatoa madhaifu ya serikali ya JMT na wanaeleza wazi kwanini Zanzibar yenye Mamlaka kamili itauponya Muungano
Ifike mahali Chadema wakubaliane Vipaumbele vyao badala ya kucheza Ngoma ya CCM kwa mirindimo ya ACT Wazalendo
Mungu wa mbinguni awabariki!
Mbowe anasema tunahitaji Katiba Mpya bila kuainisha mapungufu ya Msingi ya Katiba ya sasa. Unaposema Rais ana Madaraka makubwa ni lazima ufafanue na kutoa sababu, Tanzania Siyo nchi ya kifalme hivyo ni lazima Rais atakuwa na Madaraka makubwa
ACT Wazalendo katika kila mkutano wanatoa madhaifu ya serikali ya JMT na wanaeleza wazi kwanini Zanzibar yenye Mamlaka kamili itauponya Muungano
Ifike mahali Chadema wakubaliane Vipaumbele vyao badala ya kucheza Ngoma ya CCM kwa mirindimo ya ACT Wazalendo
Mungu wa mbinguni awabariki!