Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
- Thread starter
- #21
Kha!kha!,Ng'ombe hazeeki mainijoto gani, hata nguvu ya kut..ba anayo basi? kusumbka na dunia!
Kha!kha!,Ng'ombe hazeeki mainijoto gani, hata nguvu ya kut..ba anayo basi? kusumbka na dunia!
Shamba boy ataajiriwa tu.Huyo kimoja tu chali
Ngoja mimi nikaombe kazi kwa huyu mzee.Shamba boy ataajiriwa tu.
Mara atafundishwa gari na maisha kama kawaida!
Hao hao wanaweza kumgeuka.Wasimamizi wenyewe vijana
Itabidi apambane na hali yake.Huyu mzee anatafuta kufa mapema kwa STRESS kabla ya muda wake tu, Demu atapoanza kumuingizia wanaume wengine ndani yeye akiwa kasinzia ndio atajifunza the HARD WAY
Jamani mwacheni Mzee wa Watu nae amalize vizuri! Dunia Mapito! Kula rahaa kila unapopata wasaa!!joto gani, hata nguvu ya kut..ba anayo basi? kusumbka na dunia!
Mkuu,Vijana hawaoi kwasababu ya ugumu wa maisha,unadhani wakiwa na uhakika wa maisha wataacha kuoa?!!!.Vijana mmekaa hamuoi halafu wazee wakioa mnapiga mikelele, mzee pius oa hata watatu
Anamaliza uzee wake na mtoto mbichi kabisa.Jamani mwacheni Mzee wa Watu nae amalize vizuri! Dunia Mapito! Kula rahaa kila unapopata wasaa!!
Mzee anataka joto kutoka kwa huyo binti.hapo kuna joto gani? Binti kafuata maslahi tu,wala hakuna upendo hapo
Wwe endelea kutafuta huo Upendo,labda utabahatika kukutana nao!!hapo kuna joto gani? Binti kafuata maslahi tu,wala hakuna upendo hapo
Umeona! No stress life is good!!Anamaliza uzee wake na mtoto mbichi kabisa.
Vijamaa vipo mtaani vina pesa kutwa kuchwa kushinda kwenye mabaa tu, halafu unaowatete hawaoi kisa pesa wana mademu mitaani na wanawahudumiaMkuu,Vijana hawaoi kwasababu ya ugumu wa maisha,unadhani wakiwa na uhakika wa maisha wataacha kuoa?!!!.