Waswahili wanasema ukianguka usitazame ulipoangukia bali tazama ulipojikwaa.
Wale vichwa vikali vya siasa za maendeleo tangu hapo mwanzo walishatilia mashaka kuhusu siku zijazo kuwa mbaya kiuchumi kutokana na sera na hatua zisizo rafiki kwa uchumi wa Nchi yetu walishatanabaisha na kuonya.
Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ktk moja ya kumbu kumbu za bunge alionekana akimshukia Waziri wa Fedha wa wakati huo Mh Dr Philip Mpango. Akimuonya na kumshauri juu ya athari za kiuchumi zinazoweza kutokea miaka michache baadae ikiwa watatekeleza maoni na sheria ya fedha aliyowasilisha Bungeni.
Je hali ilivyo kama tunavyoiona tuendelee kumtwisha mzigo huu wa lawama Dr Mwigulu?
Tazama videoclip ktk Bungge la awamu ya tano.
Wale vichwa vikali vya siasa za maendeleo tangu hapo mwanzo walishatilia mashaka kuhusu siku zijazo kuwa mbaya kiuchumi kutokana na sera na hatua zisizo rafiki kwa uchumi wa Nchi yetu walishatanabaisha na kuonya.
Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ktk moja ya kumbu kumbu za bunge alionekana akimshukia Waziri wa Fedha wa wakati huo Mh Dr Philip Mpango. Akimuonya na kumshauri juu ya athari za kiuchumi zinazoweza kutokea miaka michache baadae ikiwa watatekeleza maoni na sheria ya fedha aliyowasilisha Bungeni.
Je hali ilivyo kama tunavyoiona tuendelee kumtwisha mzigo huu wa lawama Dr Mwigulu?
Tazama videoclip ktk Bungge la awamu ya tano.