Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 654
- 1,208
Mzee huyu maarufu ndani ya mkoa wa iringa mwanachama wa chadema na bingwa wa propaganda za kisiasa ameaga dunia .
Chadema watammiss Sana hasa ukizingatia kua pia alikua campaign manager wa Msigwa .
Rest easy baba
---
Mzee David Butinini enzi za uhai wake
Mchungaji Msigwa athibitisha kutokea kwa kifo cha Mzee Butinini
Mchungaji Msigwa - Nimempoteza mzee wangu , rafiki yangu , mshauri wangu Mwalimu wangu wa siasa , muasisi wa mageuzi IRINGA.
Mbuyu umeanguka , Maktaba imetoweka . Asante sana kwa mchango wako katika maisha yangu.
R I. P David Butinini.
Chadema watammiss Sana hasa ukizingatia kua pia alikua campaign manager wa Msigwa .
Rest easy baba
---
Mzee David Butinini enzi za uhai wake
Mchungaji Msigwa athibitisha kutokea kwa kifo cha Mzee Butinini
Mchungaji Msigwa - Nimempoteza mzee wangu , rafiki yangu , mshauri wangu Mwalimu wangu wa siasa , muasisi wa mageuzi IRINGA.
Mbuyu umeanguka , Maktaba imetoweka . Asante sana kwa mchango wako katika maisha yangu.
R I. P David Butinini.