mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
"Watanzania wanisamehe kutumia neno hilo, wakati wa uchaguzi inakuwa ovyo, na vijana waliyopo wasahihishe, uchaguzi wetu ni ovyo, umekuwa wa vita, wa rushwa, haki imepotea pale, na ndio maana imezaa tabia ya kutokuaminiana nje ya vyama na ndani ya vyama"
ITV dk 45
UVCCM Mnasemaje hapo??
ITV dk 45
UVCCM Mnasemaje hapo??