Kumbuka siasa zilipigwa spaan kwa miaka minne na nusu. Kule Chadema mzee alikua haamini kama Kuna ka maji uhuru la kuongea. Amefika NCCR alijiona sasa niko huru kuongea.Mbona huku nccr kaongea mengi kwa nguvu, kujiamini na muda mwingi, kuliko alivyoongea kule kwenye mkutano wa CHADEMA.
Ni kwamba kule CHADEMA hakuwa huru au hakupewa muda?!
Nimependa aliposema " Rais ni lazima aheshimiwe".........hii inamuhusu Ni Yeye wa Ufipa!Kumbuka siasa zilipigwa spaan kwa miaka minne na nusu. Kule Chadema mzee alikua haamini kama Kuna ka maji uhuru la kuongea. Amefika ACT alijia sasa niko huru kuongea.
MazingiraMbona huku nccr kaongea mengi kwa nguvu, kujiamini na muda mwingi, kuliko alivyoongea kule kwenye mkutano wa CHADEMA.
Ni kwamba kule CHADEMA hakuwa huru au hakupewa muda?!
Ukumbi ulikua hautoshi au nasaha zake hazikuhitajika Chadema?!Mazingira
Umepigwa spana vibaya inabidi utafute kaneno kakuokotezaNimependa aliposema " Rais ni lazima aheshimiwe".........hii inamuhusu Ni Yeye wa Ufipa!