TANZIA Mzee ASAS (CEO wa ASAS Group of Companies) Alhaj Faraj Ahmed Abri, afariki dunia

Duh R.I.P☹️👇❓
images (1) (19).jpeg
 
Mh! Kwamba hawa wote hawakuvaa barakoa, maji tiririka waliyaogopa, sanitizer hawazijui na hawakua na uwezo wa kupata chanjo?

Kuna siku niliwahi kusema huenda tunapambana na huu ugonjwa kwa mbinu ambazo sio sahihi kwa sasa, tatizo limebadilika sie tunatumia mtindo ule ule. Nikaomba utafiti zaidi ufanyike.

Apumzike panapostahili, pole kwa wafiwa. Tukumbuke uhai ni zawadi ya thamani tunaipata bila kuifanyia kazi na inatoweka muda wowote. Tuithamini tunapokua na nafasi ya kuendelea kuwa hai.

Ijumaa njema.
 
Mh! Kwamba hawa wote hawakuvaa barakoa, maji tiririka waliyaogopa, sanitizer hawazijui na hawakua na uwezo wa kupata chanjo?

Kuna siku niliwahi kusema huenda tunapambana na huu ugonjwa kwa mbinu ambazo sio sahihi kwa sasa, tatizo limebadilika sie tunatumia mtindo ule ule. Nikaomba utafiti zaidi ufanyike.

Apumzike panapostahili, pole kwa wafiwa. Tukumbuke uhai ni zawadi ya thamani tunaipata bila kuifanyia kazi na inatoweka muda wowote. Tuithamini tunapokua na nafasi ya kuendelea kuwa hai.

Ijumaa njema.
The monk himself
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Ulikuwa daktari wake ukathibitisha amekufa kwa Corona?
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Hizi ndizo siri ambazo haziongelewi kwenye kampeni ya kitaifa. Najua muda si mrefu, utakuja na conclusion. Endelea na research.
 
The monk himself

Ndugu yangu umenitenga na kupotea. Ila kanuni yetu ya kuchapa kazi na kuepuka viashiria vyovyote vya kukutoa kwenye reli kutekeleza majukum yetu ya kuchakarika usiitelekeze, izingatie muda wote.

Uko salama mkuu...tusitupane kaka, hasabwakati huu uliojaa mashaka na hofu. Kujuliana hali muhimu. Kumbuka wewe ni millionaire mtarajiwa ( jitunze).

Kikubwa tujiandae muda wote kwa hii safari mkuu.

Uwe na siku njema
 
Kipindi hiki wale wenye ukwasi inabidi wajipange vyema maana wenye tamaa ya urithi wanaweza kutumia opportunity ya uviko kuwarudisha mavumbini ili warithi ukwasi wao

Kifo ni usingizi wa kitambo kifupi kabla ya kufufuliwa swali utafufuka ufufuo wa 1 au wa pili Mungu atusaidie tuwe ule wa 1. Pole kwa familia
Ndio maana kelele nyingi zinalenga chanjo kwa wazee ni mkakati wa kuwapa vijana mirathi

Kwa Africa inalenga wazee sababu ndio wenye hekima na akili wanaoongoza bara hili

Wanajua vibabu na vibibi vikiondoka rahisi kupitisha maamuzi na kulaghai vijana wapenda uzungu na waamini wazungi kuwa wanna akili

Kampuni nyingi kubwa hata private sekta injini Ni wazee ,Ukienda kwenye siasa Ni wazee ndio vichwa kuanzia serikalini , bungeni na mahakamani.

Wazee wetu wanaliwa timing
Na uko sahihi vijana waweza tumia fursa ya Corona kuwafanyizia wazee wao kitu mbaya kwa kisingizio Cha kaondoka kwa matatizo ya upumuaji. Warithi Mali au vyeo

Corona Ni pepo na shetani
 
Mh! Kwamba hawa wote hawakuvaa barakoa, maji tiririka waliyaogopa, sanitizer hawazijui na hawakua na uwezo wa kupata chanjo?

Kuna siku niliwahi kusema huenda tunapambana na huu ugonjwa kwa mbinu ambazo sio sahihi kwa sasa, tatizo limebadilika sie tunatumia mtindo ule ule. Nikaomba utafiti zaidi ufanyike.

Apumzike panapostahili, pole kwa wafiwa. Tukumbuke uhai ni zawadi ya thamani tunaipata bila kuifanyia kazi na inatoweka muda wowote. Tuithamini tunapokua na nafasi ya kuendelea kuwa hai.

Ijumaa njema.
Tume copy na kupaste mbinu za Ulaya ambazo hazifanyi kazi Afrika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom