Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
unakuta alikuwa mdingi na heshima zake na nyie mnamwamkia na kumtambulisha kwa watu kuwa huyu ndo mdingizela, kumbe anavyozidi kukua akili zake zinarudi utotoni.
imagine siku upo umechill sehemu unaona video ya mdingezela anacheza na 'jini' lake hivi? Si watu huwa wanasema pesa za wastaafu zina majini? Majini yenyewe ndio haya.
Hapa mzee anacheza na chanzo cha kifo chake. Kama masikhara huyu mzee ataenda kufa kwa presha halafu familia yake ihangaike, yeye pesa kapotezea hapa!
imagine siku upo umechill sehemu unaona video ya mdingezela anacheza na 'jini' lake hivi? Si watu huwa wanasema pesa za wastaafu zina majini? Majini yenyewe ndio haya.
Hapa mzee anacheza na chanzo cha kifo chake. Kama masikhara huyu mzee ataenda kufa kwa presha halafu familia yake ihangaike, yeye pesa kapotezea hapa!