Yoda JF-Expert Member Jul 22, 2018 37,661 46,349 Jul 25, 2021 #82 Mambo kama haya yafungue fikra za watu kuwa na watoto wachache ili wajiandalie na maisha yao ya uzeeni pia.
Mambo kama haya yafungue fikra za watu kuwa na watoto wachache ili wajiandalie na maisha yao ya uzeeni pia.
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 80,898 106,185 Jul 25, 2021 #83 Wewe mzazi kakulea,kakusomesha Wazazi wanawekeza kwa watoto ili Badaye,muwasaidie Lakini naona mtoto umedinda kuwapa Msaada unaona usumbufu Ova
Wewe mzazi kakulea,kakusomesha Wazazi wanawekeza kwa watoto ili Badaye,muwasaidie Lakini naona mtoto umedinda kuwapa Msaada unaona usumbufu Ova
Yoda JF-Expert Member Jul 22, 2018 37,661 46,349 Jul 25, 2021 #84 Kulea na kuhudumia mtoto uliyezaa sio uwekazaji ni kuhudumia kile kilichotokana na starehe yako. mrangi said: Wewe mzazi kakulea,kakusomesha Wazazi wanawekeza kwa watoto ili Badaye,muwasaidie Lakini naona mtoto umedinda kuwapa Msaada unaona usumbufu Ova Click to expand...
Kulea na kuhudumia mtoto uliyezaa sio uwekazaji ni kuhudumia kile kilichotokana na starehe yako. mrangi said: Wewe mzazi kakulea,kakusomesha Wazazi wanawekeza kwa watoto ili Badaye,muwasaidie Lakini naona mtoto umedinda kuwapa Msaada unaona usumbufu Ova Click to expand...