Mzazi kuaanza kukutegemea wewe kwa kila kitu bila kujali mshahara wako mdogo

Mar 11, 2015
30
17
vijana wenzangu ningependa tuweksne sawa katika hili swala ambalo lina tukuta weng

kwa mfano umepata kazi wazazi nao wanategemea sana wewe kupata kazi baada baada ya wewe kapata kazi kuna maisha yako inatakiwa uyatengeneza changamoto ina kuja hapa mzazi mzazi akishajua kwamba umeshapata kazi hapo ndipo changamoto zinaanza

mzazi anaanza kuku tegemea wew kwakila kitu bila kujali mshara wako Mdogo pia afikilii kwamba nawew unahitaji kutengeneza maisha yako kwanza

hatukatai kumsaidia mzazi nilazima lakini kuna muda unaweza jikuta kwenye maisha unakwama malengo yako yana potea bila kujua nini chanzo kumbe hata wazazi wana changia wakisha jua mwisho wamwezi umekaria sim zinaanza zakuomba Pesa unajikuta malengo ulopanga kwamba nikipokea mshahara nifanye hiki unavuruga unamtumia mzazi usipo mtumia lawama kama zote

jamani wazi mtuache kwanza makampuni yenyewe saivi wana lipa mishahara midogo pengine hata Mimi mahitaji yangu haunisholezi tushsulisne hapa Vijana wenzangu hasa sisi tunao anza maisha tuwekane sawa by Fundy_samwely_tz
 
Kwa sisi tunaoifata bible tunaamini kuwa fedha na mali mtu hupewa na baba yake na sio otherwise hivyo ni mapenzi ya Mungu wazazi wawaachie watoto wao mali ili maisha yawe na unafuu ikiwa kinyume na hapo ndo unakutana na thread kama hizi!Jipe moyo mkuu kijana maadam yashakukuta hapo huna namna kikubwa usipeleke pesa bali mwambie mama kuwa kila mwezi utakua unapeleka mahitaji kama mchele n.k alafu pocket money iwe fixed kama elf 30 or 50 kulingana na unavyoweza afu komaa na msimamo wako hapohapo with time atacope nao!
 
Dah! ama kweli mzazi mmoja anaweza kuwalea watoto 10 lakini watoto 10 wakiwa wakuanza maisha yao wanaweza kushindwa kulea mzazi mmoja.

Mkuu mada yako hii inanikumbusha kisa kimoja kilichotokea enzi za mtume Muhammad (S.A.W). Sikukumbuki vizuri kisa hicho lakini msingi wake ni kijana mmoja kwenda kulalamika kwa mtume kama ulivyokuja wewe kulalamika hapa.
 
Acha kulialia we wakati unamtegemea kwa kila kitu kuanzia kunyonya.nepi.kula.shule?
 
Umeone eee kitu chamsing sana ila waafrica tuna pondana tena unajua mzazi nimtu wamuhimu sana nivingi anakua amekusaidia ikiwemo kukulea mpka umefikia hapo so mzazi huyohuyo isiwe kikwazo kwako cha wewe kufanikiwa kuwa
 
Tusome vitabu vya dini kupata ufafanuzi wa mambo km haya yalikuwepo toka zamani sisi sio kwanza
 
Inategemeana dogo. Mbona wewe ulipokuwa mdogo uliwategemea wao kwa kila kitu, lakini hawakukutolea matangazo unayowatolea wao hapa?


Ni wajibu wa lazima kwa mzazi kumhudumia mtoto.

Ila siyo jukumu kisheria kwa mtoto kumhudumia mzazi.

Mtoto anawajibika kimila tu kwa mzazi katika kumsaidia ila siyo kisheria.

Mzazi hawezi kumshitaki mtoto kwa kutokumhudumia.

Hii ni changamoto sana kwa vijana, bado kuna wazazi wana fikra za kijima kwamba wamezaa ili wapate wa kuwahudumia kila kitu.

Yaani, umlipie bill ya umeme, chakula , pombe, mavazi, vocha, na malazi.

Yaani, unabeba jukumu, hili siyo sawa.

Kuna kumsaidia mzazi pale hali ikiruhusu ila kuna wengine wanataka wakupruni kila kitu yaani kwa mwezi unatuma hata laki mbili mfano, wakati unalipwa laki tano.
 
Ni wajibu wa lazima kwa mzazi kumhudumia mtoto.

Ila siyo jukumu kisheria kwa mtoto kumhudumia mzazi.

Mtoto anawajibika kimila tu kwa mzazi katika kumsaidia ila siyo kisheria.

Mzazi hawezi kumshitaki mtoto kwa kutokumhudumia.

Hii ni changamoto sana kwa vijana, bado kuna wazazi wana fikra za kijima kwamba wamezaa ili wapate wa kuwahudumia kila kitu.

Yaani, umlipie bill ya umeme, chakula , pombe, mavazi, vocha, na malazi.

Yaani, unabeba jukumu, hili siyo sawa.

Kuna kumsaidia mzazi pale hali ikiruhusu ila kuna wengine wanataka wakupruni kila kitu yaani kwa mwezi unatuma hata laki mbili mfano, wakati unalipwa laki tano.
Mwinge analipwa laki tatu wazazi wanataka kila mwezi laki baado matumizi madogo mado pi we we mwenyew una majukumu yako we we kama we we daah! Ulipe kod ya nyumba umeme maji ule uvae ujenge ujiajili watkiwa kutafuta mtaji haphapo kwenye lakitatu upande daradara kilasiku mmh! Tunafika kweli
 
Back
Top Bottom