RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Inategemea wazazi bado wana nguvu kiasi gani kama bado wana nguvu za kujitafutia riziki sio vizuri kumtwisha mizigo mtoto.Ni wajibu wa lazima pia mtoto kumhudumia mzazi.
Wewe unataja eti sio wajibu wa kisheria hiyo sheria unayosema ni ya nani??