Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
hahahhaa ndo upoje huo
Ule ambao sisi maScania hatuwezi kupita.
hahahhaa ndo upoje huo
nipo mkuu....
ndio nimechungulia mada zenu leo. Kumbe huwa mnayajadili haya?
eti my x nihurumie,dah! Nyama inasubiri huruma ya fisi.
Ni kawaida hasa kama mliachana kama bado mnapendana.....sasa cha kufanya njoo PM nikishauri maana hapa wapo wahafidhina Asprin Bantu lady King'asti na wengineo😱
Marhabaaaa Bantu lady mkwe wangu...huyu kijana wangu sungura1980 yupo wapi
Anakaba huyoo...hataki hata niingie humu. Anaogopa kuibiwaa!!
Vp lakin...za kitambo?
Kumbukumbu za ma-X na janga la kitaifa.una mume...bado unamuwaza...ur x
una pepo ww
ndo mana tunakua wagumu kuoa cc
umeonaa eeeh!! Upo mzee mwenzangu? za masiku?
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue
Wanawake wa siku hizi ni bola ukaoa punda kuliko hizi mbwa,yani mtu kaolewa bado anatoa mbunye kwa x wake,stupid woman.