My X.nihurumie

My X.nihurumie

nipo salama mkuu...nimerudi tena hapa jukwaani kwetu. Nilipamiss sana hapa nyumbani

karibu sana , japo Pamekuwa na mambo ya hovyo hovyo sana siku hizi.......

inahitaji uwe na moyo mgumu kuendelea kuwepo humu.........
 
Naanza mazoezi ya kuhama jukwaa

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Nakumbuka nilivyokuwa naiota MMU enhenhe siku hiz hata nisipoingia mwezi sishtuki!
Ila shemeji kote kote bado nakumithi!
Daaaadek af shwaaaain zenu !khaaaaaaaaa enhenhenhe sina hamu!
Do ze needful

Hebu nipe ratiba yako chapchap sana. Mi nshashindwa kuvumilia tena.
 
Sijaelewa...... Ufoo saro anaweza akahusishwa na hii kesi?

Jurisdiction prudence please..
 
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue
Hivi sina akili au? Hata sielewi ulichoandika!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom