My X.nihurumie

My X.nihurumie

Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue
it is suprised to read this..
 
umeonaa eeeh!! Upo mzee mwenzangu? za masiku?
Mkuu long time hujaonekana jukwaani, jioni tuwepo pamoja katika thread yetu kupeana mambo yatakavyokuwa yakitokea kule Wembley.....
 
Ndio maana wenye busara zao wamekimbia jukwaa.......
 
Mkuu long time hujaonekana jukwaani, jioni tuwepo pamoja katika thread yetu kupeana mambo yatakavyokuwa yakitokea kule Wembley.....
Nipo mkuu....nilikuwa kwenye purukushan za maisha. Jion lazima nijongee kwenye uzi wetu. Hope leo babu hatatuangusha!!!
 
Wanawake wa siku hizi ni bola ukaoa punda kuliko hizi mbwa,yani mtu kaolewa bado anatoa mbunye kwa x wake,stupid woman.

Don't generalise brother, una uhakika huyu ni mwanamke? show some respect kwa dadaz.
 
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue

mweeeee
 
Linakatisha tamaa na kufukuza watu wenye heshima zao.

Nakumbuka nilivyokuwa naiota MMU enhenhe siku hiz hata nisipoingia mwezi sishtuki!
Ila shemeji kote kote bado nakumithi!
Daaaadek af shwaaaain zenu !khaaaaaaaaa enhenhenhe sina hamu!
Do ze needful
 
eti my x nihurumie,dah! Nyama inasubiri huruma ya fisi.
 
Wanawake bana, maskin wa Mungu hapo mmeo anachakalika anatafuta pesa akulishe wife kumbe wife mwenyewe anagawa mbunye kwa Ma X wake daily!!
 
Wanawake bana, maskin wa Mungu hapo mmeo anachakalika anatafuta pesa akulishe wife kumbe wife mwenyewe anagawa mbunye kwa Ma X wake daily!!
Hapo kwenye wanawake bana,unamaanisha na mamako au inaishia huku huku tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom