Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
it is suprised to read this..Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue
Mkuu long time hujaonekana jukwaani, jioni tuwepo pamoja katika thread yetu kupeana mambo yatakavyokuwa yakitokea kule Wembley.....umeonaa eeeh!! Upo mzee mwenzangu? za masiku?
Hommie,
Watu wanasema mimi ni nani?
Na wewe unasema mimi ni nani?
nipo mkuu....Kiongozi usipotee tena namna hii. Tunazikosa busara zako. Naamini uko poa swahiba angu.
Nipo mkuu....nilikuwa kwenye purukushan za maisha. Jion lazima nijongee kwenye uzi wetu. Hope leo babu hatatuangusha!!!Mkuu long time hujaonekana jukwaani, jioni tuwepo pamoja katika thread yetu kupeana mambo yatakavyokuwa yakitokea kule Wembley.....
Wanawake wa siku hizi ni bola ukaoa punda kuliko hizi mbwa,yani mtu kaolewa bado anatoa mbunye kwa x wake,stupid woman.
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue
Ni kawaida hasa kama mliachana kama bado mnapendana.....sasa cha kufanya njoo PM nikishauri maana hapa wapo wahafidhina Asprin Bantu lady King'asti na wengineo😱
Linakatisha tamaa na kufukuza watu wenye heshima zao.
nipo mkuu....
ndio nimechungulia mada zenu leo. Kumbe huwa mnayajadili haya?
eti my x nihurumie,dah! Nyama inasubiri huruma ya fisi.
Hapo kwenye wanawake bana,unamaanisha na mamako au inaishia huku huku tu?Wanawake bana, maskin wa Mungu hapo mmeo anachakalika anatafuta pesa akulishe wife kumbe wife mwenyewe anagawa mbunye kwa Ma X wake daily!!