My X.nihurumie

My X.nihurumie

Suprise

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
2,696
Reaction score
1,063
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue
 
Personal issue hususan mahusiano discus na ndugu zako then c bure ww unapepo mchafu
 
Nenda kapashe kiporo.
anaenda wapi? Si utoroke uondoke nae mkakae huko?

dedications:
ningekuwa na pesa, ningeunda ndege
twende tuishi juu, karibu na mwezi
Kwa sababu watu wasituudhi
kipenda roho hula nyama mbichiiii
 
Linakatisha tamaa na kufukuza watu wenye heshima zao.

Babu Asprin umeongea la maana sana, yaani mtu unaogopa hata kuingia humu. Sijui ni utoto au ulimbukeni sijui kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Foolish age inakusumbua,una mume unashindwa kujielewa hivo! Je familia unaimudu kweli?
 
Wanawake wa siku hizi ni bola ukaoa punda kuliko hizi mbwa,yani mtu kaolewa bado anatoa mbunye kwa x wake,stupid woman.
 
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue

Ni kawaida hasa kama mliachana kama bado mnapendana.....sasa cha kufanya njoo PM nikishauri maana hapa wapo wahafidhina Asprin Bantu lady King'asti na wengineo😱
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom