Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
...heheheheeeeee.....fwifwifwifwi........! yashakuwa hayo tena? bora mwenzio nina story ya kudaivosi........!
Safi sana kama ni kweli, kaza kabisa huo mfuniko alimradi tu pesa zote naleta home na tunakula kama familia. Nakupongeza sana maana pengine usingefanya hivyo vijisent vyote vingeishia kwa akina nanilii. Achana nao wanao kusema sema, mm siwasikilizi ng'ooo!
...heheheheeeeee.....fwifwifwifwi........! yashakuwa hayo tena? bora mwenzio nina story ya kudaivosi........!
hela yote ilikuwa inaishia kwa akina eliza mumewangu,imebidi nikuweke kny chupa....naona sasa tutajenga! :teeth::teeth::teeth: