cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Navyomfahamu cheusi afadhali niseme mwenyewe akiiona bila mi kutoa taarifa we acha tu.
kwa kweli una mengi yakujieleza.
Navyomfahamu cheusi afadhali niseme mwenyewe akiiona bila mi kutoa taarifa we acha tu.
amina Shosti,
ila ujue huyo ni shem wako,akikwambia kitu usichokielewa elewa uje umsemee kwangu!
sawa eeh!
duuuuhh kwa kweli samahani sana dada Cheusi mi hakuniambia yote hayo.....
haya vizuri kujua haya ntaanza kutoa mita kuanzia leo ...
nikimwona tu viatu mkononi...
sintosimama...
FANYA YOTE LKN USISAHAU KUWA NAKUPENDA KULIKO MLIMA KILIMANJARO.
I JUST WANT TO PUT SMILE ON YOUR FACE TODAY.....
hahaahahha lol
yaani wee acha tu Afro,nimetoka naye mbali sana,ngojea siku ntakuhadithia jinsi nilivyomvumilia kwa shida na dhiki ndio utaelewa kwa nini nina uchungu naye.haya ngoja nikajaribu kulala lkn sijui kama nitapata usingizi!
hahahahhahaahha lol ......Asante nami pia nakupenda zaidi ya roho yangu.
duuuhhhh kwa kweli ...hii tamu lakini ataipenda ...
Am smiling all right lol! umezidi utundu we binti hahaha!
hahahahhahaahha lol ......
Nawe pia unaenda kulala ?
duuuuuhh lol mi naenda kazini .......
saa saba mchana sasa....lol
Saa saba mbali kuna muda mwingi wa kulala i still need to smile lol!
yahaaa saa saba mchana alhamisi.........
lol mi ngoja nikimbie tutaonana baadaye ....
na we lala salama .......
:whoo::whoo:
Usiku mwema halahala usiniote sawa hahaha!
Aisee Uporoto unafanya nini na maza hausi wangu???We baki humohumo kwenye chupa lakini badili jina we sio shapu tena,Afrodenzi vipi ile signature nzuri imeenda wapi ? hii pia nzuri lakini ile ni zaidi au umeshapata ...
Aisee Uporoto unafanya nini na maza hausi wangu???
Safi sana kama ni kweli, kaza kabisa huo mfuniko alimradi tu pesa zote naleta home na tunakula kama familia. Nakupongeza sana maana pengine usingefanya hivyo vijisent vyote vingeishia kwa akina nanilii. Achana nao wanao kusema sema, mm siwasikilizi ng'ooo!
Usiwe na wasiwasi mkuu huyu huwa tunataniana tu hata cheusi anamfahamu.
hahahaah lol kumbe uliletewa mikwara baada ya mi kuondoka lol
pole sana lol
i am watching
Aisee Uporoto unafanya nini na maza hausi wangu???