Kwa Australia mimi huwa napawaza SydneyNililala napawaza Canberra naamini siku yoyote isio na jina itakua kweli. Ngoja tuone 2020
Aiseeeeee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cute b si bado mdogo sasa
By the way nilishawahi kuandika humu kuwa hata mama yangu mzazi anajua kuvaa kuliko mimi yaani yeye na dada yangu wa kwanza pamoja na mdogo wangu anayenifuata wananishinda kwenye kuvaa
Yaani mimi najiona kabisa nitakavyofanikiwa mapema maana sipendi anasa sijui kuvaa, situmii makeup, sivai mawigi wala siweki kucha za bandia (maana hivi ndiyo vitu vinavyomaliza hela zetu wanawake kwa asilimia kubwa)
Yaani hata ndugu zangu wameshalijua hilo kwamba mimi napenda sana kusafiri kuliko kufanya hivyo vitu, nikiwa Mbeya nikienda kutembea milimani huko huwa nawapigia simu kuwaambia leo nimeenda kutembea sehemu fulani na fulani.
Nakumbuka kuna kipindi ajali zilifululiza kule Mbeya milimani huko, sasa kuna siku ilitokea ajali kubwa iliyowashitua watu, nakumbuka siku hiyo mama alinipigia simu kuniuliza kama mzima nikamuambia ndiyo akasema anhaa nimesikia kuna ajali imetokea, nikakupigia kujua kama ni mzima maana hauchelewi kuwa umeenda kuzurura milimani huko ikakukuta nikamuambia sikuenda.
Ninayeona kidogo ana hobby ya kusafiri ni dada yangu wa kwanza japo yeye anapenda sana safari za ndege na basi kidogo, mimi sichagui yaani ndege, basi, meli na treni vyote twende tu tena kama safari za Dar Mbeya nishapanda sana treni za tazara zile yaani vile tunavyokaa siku mbili njiani mie ndiyo napenda na hamna stress sababu mule ndani kuna kila kitu siyo ndege lisaa limoja tu tumefika khaa.
Kama ikiwezekana kuishi nitaishi hapo au JapanKwa Australia mimi huwa napawaza Sydney
Bado sijioni kama msafiri mkuu, bado sana yaani nikianza kuenda nje kama wewe hivi hapo ndiyo naweza kusema mimi ni msafiri.Aiseeeeee.
Kumbe nawe ni msafiri eti
Oohh mimi sehemu ambazo ningependa kuishi milele ni USA au UK kwengine ningependa kutembelea tuKama ikiwezekana kuishi nitaishi hapo au Japan
Aise I always dreamed of no 10 to the extent of wanting to study astronomySehemu ambazo ningependa kufika
1-BALI
2- Machu picchu
3-Delhi
4- Egypt
5- Paris
6- Brazil
7 - Iran
8- Liverpool
9- New york na washington
10- Mwezini
Sipendi kitu kinachopendwa na wengi.. huko labda kutembea. Kwa afrika laiti Zanzibar kungekua hakuna bahari ningeweka makazi milele.. sasa bahari na jinsi wakristo walivyo wachache huko unakua mpweke fulani hv..Oohh mimi sehemu ambazo ningependa kuishi milele ni USA au UK kwengine ningependa kutembelea tu
Sio kweli, Fuatilia LONELY PLANETUkishaenda Iran kuna uwezekano mkubwa usijeenda USA maisha yako yote
Kama una fedha za kutosha nenda NASA au SPACE X nasikia wana andaa tours za kwenda huko[emoji28]Aise I always dreamed of no 10 to the extent of wanting to study astronomy
Hahaahahahaahahhhaah!
Aiseeeeee....
Unaujua wimbo wa harmonize unaitwa never give up?? Basi ndio huwa unaniletea kama hisia za OJUELEGBA
Kwanini mkuu?Ukishaenda Iran kuna uwezekano mkubwa usijeenda USA maisha yako yote
The siddi community,