Rafiki mimi sio kijana. Hebu jaribu siku moja uniandalie ticket ya ndege nione kama nitaona uvivu au lahDuh! Wewe ni kijana wa kwanza kukuskia hupendi kusafiri, once nilitaka kuwaandalia safari my bosses waende Peru for a month wakapumzike, mzee akaniambia hawezi kusafiri na hapendi but yeye yupo 62 years old.
Sasa kama wewe hapo unaandaliwa kila kitu unakataaje sasa rafiki??
Acha wivu mkuu[emoji23][emoji23] si amekwambia ni upcoming...... Sasa unalia nini[emoji28][emoji28][emoji28]?we jamaa mtu wa ajabu sana.
kwa nini usitumie picha zako binafsi ilituweze kukuamini unayoyasema.
unapoweka picha za wenzako na kutuaminisha wewe ndo original owner hii inakuwa plagiarism
Acha wivu mkuu[emoji23][emoji23] si amekwambia ni upcoming...... Sasa unalia nini[emoji28][emoji28][emoji28]?
Kwani wapi jamaa ametuaminisha ni picha zake?Huu sio wivu ni smartness
Kama ni upcoming then alitakiwa ku acknowledge source for example
View attachment 1243911
source: Amman , Jordan, Amman, Jordan | Synotrip
Ukitaka historia za dini na uone live nenda Lebanon Yesu alipiga misele sana kile kipande,utaona alipogeuza maji kuwa ulabu ,utaona makazi ya Samson na Delaila, utaona njia aliyopita akielekea JerusalemMkuu, middle east kuna historia kubwa sana hususan kwa wafia dini. Ndio kuna history kubwa ya christianity na Islam huko.
Hongera mzee, Iraq as it stands haipo kwenye list yangu labda baadae huko lakini Bahrain mkuu mbona ulichemka kuiacha hiyo offer???
India is on my list japo sijui ni lini
Kubadili jina mkuu??Nina Process ya kubadili jina. Kubadili Passport. Kuandaa statement iliyoshiba.
Nimejipa miezi 14 ktekeleza hilo jambo
Duh!!!Yule fala haaminiki.
Pale pamejaa Rushwa siku hizi wapo wanaopata siku hiyo hiyo kwa hongo unalipia Passport 2 kupata 1 unaambiwa subiri. Wanatengeneza rufaa feki kuwa wahitaji uharaka kwenda India passport unaambiwa fata jioni
Kuna mengine huwa haya-apply kwakoNdio nimeshangaa unasema safari sio ya leo wala ya keho kutokana na hali ya hela.
Daah sawa ngoja nifanye mpango basiNchi yetu hii bhana. Hebu msikilize jamaa anachokisema. Au ndio inabidi aongee kwa herufi kubwa???
Kama huna hela ya kujiongeza ndio itabidi ufuate hayo ma process yote yasiyo na maana ila ukiwa na hamadi kibindoni unapata passport yako within no time.Kweli mkuu? Ila si nasikia ni hadi upeleke evidence ya wapi unaenda na nini unaenda kufanya kitu ambacho mimi sina na sijui napata wapi maana mimi nilikuwa nataka tu niwe nayo standby ili ikitokea safari yoyote ya kuenda nje iwe ni kutafuta visa tu lakini ndiyo hivyo nasikia bila hiyo evidence eti hawakupi passport na kitambulisho cha taifa tayari ninacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cute b si bado mdogo sasaHahahahahahahahhahaha!
Mimi nlidhani all this time unataka ukiwa mkubwa uwe kama cute b !!!!
Dunia inakwenda kasi sana.
Mkuu ukue kiasi gani tena ? Maana all this time mimi nilikuwa nadhani wewe ni mama fulani hivi wa makamo mwenye familia ya watoto kadhaa.Mkuu, nadhani sikukosea niliposema kuwa nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe yaani nikija kuwa na hela nahisi zitaishia kwenye kula na kusafiri tu na hata kwangu mimi nguo na viatu siyo kipaumbele ili mradi sitembei uchi wala peku.
Mkuu, by all means! Tena nlikuwa natafuta haswa ndugu yangu ππππππRelief Mirzska naomba niweze kuwa official videographer na photographer wako kwa ajiri ya kumbukumbu. π