My upcoming trip to Jordan

Inaleta furaha kwamba na sisi tunaweza ku exlorer the World like this kama alivyofanya dr livingstone na wenzake enzi hizo ,

Namna hii na sisi wa africa tutaweza kupata ukweli ambao tulisha danganywa na wakina dr livingstine,
 
Kuna safari ya Israel tar 21 -28/12/19 unaweza kujoin, gharama 1490$ kila kitu
Going places ni moja ya vitu napenda, unfortunately i have never been to the middle East zaidi ya UAE...

Kuna wakati nishawahi kupata offer ya kazi Iraq na Bahrain nikatosa zote, Iraq ni vile hakukuwa na usalama na Bahrain nilitosa baadaye bila sababu ya msingi...

Kati ya vitu vipo kwa bucket list yangu ni hizi sehemu za historia za middle east, plus maeneo fulani ya magharibi mwa India ambapo wanapatikana settlers waliotoka East Africa miaka ya zamani, and some still preserve zile norms za Afrika Mashariki...
 
i love travelling aiseee & hizi historical places are priorities on my bucket list.....Mwenye Enzi atakapojaalia nitaanza zi-tick moja baada ya nyingine!

hongera sana mkuu & safari njema.
natumai utatuletea mrejesho
 
This is considerably ok mkuu.

Ni nani organizers??? Kuna itinerary tayari??
Excellent guides Tanzania
Screenshot_20191107-142128_WhatsApp.jpeg
 
Kuna Rafiki yangu Yupo Jordan ,nilipenda,kwenda kutembea ,ila sikujua haya mengine sasa safari yangu naamini itakua nzuri sana,Mkuu asante kwa kuniongezea chachu kufika hapo JORDAN.
 
Wabongo wengi wenye pesa zao ukiwaambia inshu ya kusafiri kuona dunia wanaona kama kuchezea hela ila kwenye kuhonga wanahonga IST,nyumba na viwanja.
Kweli kila mtu na hobbies zake...
Cant wait wait nianze bara la Asia kwanza.
 
Wengine tuwe wapenzi wasomaji maana hata hapo Kenya tuu sijui nitaenda lini?

Safari za ndani zenyewe ni shida tuu
Huko nje tutaweza kweli

H o n g e r a yako mkuu 👏
Totoo usikate tamaa hivyo..wewe bado sana kukata tamaa. Kama ni siku, wewe kwako ni saa tatu asubuhi!
Pambana weka malengo chanya
 
Wabongo wengi wenye pesa zao ukiwaambia inshu ya kusafiri kuona dunia wanaona kama kuchezea hela ila kwenye kuhonga wanahonga IST,nyumba na viwanja.
Kweli kila mtu na hobbies zake...
Cant wait wait nianze bara la Asia kwanza.
Hakika mkuu.

Nami nakushauri anzia Asia
 
Back
Top Bottom