Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,784
- 60,122
Mimi ndo naangalia hapa ila tatizo hela maana mimi lazima niende na wife
Naangalia deals zao hapa ziko affordable hadi 22usd kwa usiku
Haswaaaaa! Si unajua waswahili dharau. Wakituona maeneo kama hayo wanatuona tuna njaa. Kwahiyo hawakutreat the same way km wazungu.
Singapore pako poa sana! Sana tena, night life yeah but not too much to see, pale Marina tu. Hakikisha unafika gardens by the bay
Kabisa! Waswahili matatizo sana siee...Waswahili tunadharauliana. Wageni wanaonekana wana hela. He mentioned Marina Bay sands with the boat pool on top of building. Gardens by the bay ndio hii ya Marina?
Safari Dubai hadi singapole. Unapita India, Thailand etcSafi sana
Lakini safari unaianzia wapi mkuu
Kusanya tu kidogo ukapumzike
Thank you. Ni gharama maisha ya pale? Au inategemea na mtu anapenda starehe gani?Kabisa! Waswahili matatizo sana siee...
Marina bay sands, yeah exactly. With the boat pool on top of building sasa pale pale ndio ipo garden by the bay.
Kiukweli its expensive thereThank you. Ni gharama maisha ya pale? Au inategemea na mtu anapenda starehe gani?
Asante kwa pongezi.Hongera sana inaelekea umeshaingia nchi nyingi sana.
Kiufupi ni kuwa ukitoka huko Passport imechafuka mihuri maana kila dock lazima mnashuka enda tembea ndani ya mji hivyo lazima upite migration
Hahaahahahahahah!
Pole kwa kutokutimiza ndoto ya utotoni, but you can still work on it
[emoji23][emoji23] umenikumbusha nilipanda meli kuelekea Zanzibar
Wahudumu wakaanza kugawa mifuko ya plastic nikauliza ya nini?
Jamaa kwa utani akaniambia chukua tu utaihitaji baada ya mda
Nilishangaa sana nilipoona matumizi yake [emoji2959][emoji2959][emoji15][emoji15]
Niliamua kwenda juu kuangalia meli ikikata mawimbi
Nikawaacha na mifuko yao
Ukiwa tayari we Fatilia hizo cruises zipo za bei nzuri kwa kila siku including meals and soft drinks. 4 meals a dayTumeiona shukrani sana mkuu
Minimum ndio hiyo imejumlisha Ndege kutoka Dar hadi Dubai na kutoka Singapole hadi Dar.Kwa hiyo hiyo 5M tu?
Kabisa!
Huwa wanakosa vitu vizuri sana. Mimi napenda pia watersports
Mwaka huu wakati nachagua destination nliangalia Madagascar na Seychelles lakini nkaona wako ghali kiasi flight zao.
Cape town pako poa and it's cheap to go but hiyo issue ya xenophobia imechafua hali.
Morocco kuna mji wao unaitwa Marrakech naskia uko poa