Jimmywatanzania
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 503
- 269
Acha uoga lea mtoto
Yaani jamaa anajiona yeye ndo yeye kumbe amejaza upuuzi tu ubongo wake.
😂 😂 😂Yaani jamaa anajiona yeye ndo yeye kumbe amejaza upuuzi tu ubongo wake.
Ukimsoma katikati ni ujuaji na ujinga umemjaa.
Halafu mwenyewe anajiona Kama Pdiddy vile.
Ukute anaandika akiwa kijijini kapanda juu ya mti wa mwembe akitafuta mtandao.
**** mate no strings attached.
cc Ruttashobolwa
Kila mtu anaishi kwa life style yake na kila mtu yupo sahihi kwa life style yake.Yaani jamaa anajiona yeye ndo yeye kumbe amejaza upuuzi tu ubongo wake.
Nature ya mwanaume ni kupenda ngono na Mi binafsi napenda ngono na naifanya kwa starehe (obey the nature).Ukimsoma katikati ni ujuaji na ujinga umemjaa.
Kila mtu ana life style yake na yuko sahihi.Halafu mwenyewe anajiona Kama Pdiddy vile.
Usipende kudharau usiye mjua.Ukute anaandika akiwa kijijini kapanda juu ya mti wa mwembe akitafuta mtandao.
Yap; No string attached ni maisha niliyochagua mimi.
Kandamiza hapohapo 😂Mtoto ni wako
Hichi kipande nimekikubaliKila mtu anaishi kwa life style yake na kila mtu yupo sahihi kwa life style yake.
Punguza kuiona ya kwako ni bora kuliko ya wengine.
Tupo tusiotaka na tusiopenda kuoa na wapo wasiotaka na wasiopenda kuolewa.
Na ipo life style yako unayoipenda.
Na zote ZIPO SAHIHI.
Nature ya mwanaume ni kupenda ngono na Mi binafsi napenda ngono na naifanya kwa starehe (obey the nature).
Na ili iwe tamu hufanya kwa wengi.
Inakuaje Tamu kila siku una lala na K hiyohiyo?
Halafu vile Nikuoe then leo nataka ukaniambia umechoka then unibanie starehe yangu?
Na kwanini ufuge kuku huku mayai ni bei rahisi?
Na kwakuwa naipenda ngono basi lazima NIJILINDE.
Tatizo lako unataka nikwambie nimeoa na nina watoto kadhaa ndio unione mjanjaa.
Nachomwambia, wapo wenye ndoa zao na wanajiona WAJINGA kuoa.
Kila mtu ana life style yake na yuko sahihi.
Hakuna aliye Put duddy wale chokoraa juu ya life style yake.
Usitake kila mtu aishi yale maisha UNAYOONA WEWE NDIO SAHIHI.
Usipende kudharau usiye mjua.
Yap; No string attached ni maisha niliyochagua mimi.
Njoo ghetto lala, kesho amka chukua pesa yako na usepe.
No string attached:- mambo ya baby uko wapi, baby sijui what, sijui this and that no.
Between me and you there is MONEY only.
TUENDELEE KUTAFUTA PESA.
#YNWA
Nilitaka tu kumsoma.unasema no strings attached na huku umehack simu yake
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Ni kawaida yetu kugeuza matokeo Anfield.Braza umepata matokeo yenu ya UEFA?
Papuchi MOJA mnakula 10 halafu wewe ndio uioe..!!Hichi kipande nimekikubali
Unakuja ghetto unachukua mshiko na mm nala papuchi
Inabidi siku hizi waoaji watatafuta kwa tochi watu tushaanza kushtuka
Yaani watu wangejua hayo maisha yalivyo stress free na full raha wangeachana na ujinga wa ndoa.Kila mtu anaishi kwa life style yake na kila mtu yupo sahihi kwa life style yake.
Punguza kuiona ya kwako ni bora kuliko ya wengine.
Tupo tusiotaka na tusiopenda kuoa na wapo wasiotaka na wasiopenda kuolewa.
Na ipo life style yako unayoipenda.
Na zote ZIPO SAHIHI.
Nature ya mwanaume ni kupenda ngono na Mi binafsi napenda ngono na naifanya kwa starehe (obey the nature).
Na ili iwe tamu hufanya kwa wengi.
Inakuaje Tamu kila siku una lala na K hiyohiyo?
Halafu vile Nikuoe then leo nataka ukaniambia umechoka then unibanie starehe yangu?
Na kwanini ufuge kuku huku mayai ni bei rahisi?
Na kwakuwa naipenda ngono basi lazima NIJILINDE.
Tatizo lako unataka nikwambie nimeoa na nina watoto kadhaa ndio unione mjanjaa.
Nachomwambia, wapo wenye ndoa zao na wanajiona WAJINGA kuoa.
Kila mtu ana life style yake na yuko sahihi.
Hakuna aliye Put duddy wale chokoraa juu ya life style yake.
Usitake kila mtu aishi yale maisha UNAYOONA WEWE NDIO SAHIHI.
Usipende kudharau usiye mjua.
Yap; No string attached ni maisha niliyochagua mimi.
Njoo ghetto lala, kesho amka chukua pesa yako na usepe.
No string attached:- mambo ya baby uko wapi, baby sijui what, sijui this and that no.
Between me and you there is MONEY only.
TUENDELEE KUTAFUTA PESA.
#YNWA
mkuu inabidi uanzishe uz/stori "jinsi nilivyonusurika ngoma kwa mtoto mbichi,dompo imeniokoa"Ushaur usije rudia kupiga kavu demu anayejiuza na hata hawa wa mtaan wenye njaa kali ,jizoeze kutumia condom .
Hata mm mwanzon nilikuwa sipend kutumia condom ila niliponea chup chup kwa manz fulan kupata ngoma ya wazwaz ,kilichoniokoa na dompo .
Demu alikuwa mbichi kabisa yaan hawa hawa plate no D mwanzon nikawa namla na kondom nilimla kama mara sita na kondom ,sasa ilifika chrismas akaja kwangu kunipikia nikajiapiza leo situmii condom lazima nimle peku peku maana yule bint alikuwa na kishuzu cha haja kifuan usiseme nikajipa matumain kuwa lazima nimle kavu.
Pia kumbuka alikuwa hajatumika kiivo yaan mtoto alikuwa mbichi na ubichi wake ,sasa alipofika geto akaanza kupika ,mimi nikatoka nikaenda super market nikavuta dompo na juice yake nikarud mageton ,akapika tukala ,nikaenda kuoga nikarud kwa ajil ya kaz moja tu kupiga mashine maana nilimpania vibaya mno .
Nilivyotoka kuoga nae akaenda kuoaga basi mm nikaanza kunywa dompo langu ,huku na huku nikafakamia dompo lengo nimpige mashine sana ,sasa nikamwita kitamdan akaja nikatulia story za hapa na pale usingiz ukanibana na kuzinzia jumla kuja kushtuka saa nne usiku na demu kasepa .
Kumbe kaniamsha sana lakin nikawa nimezidiwa ,nililaum sana ile siku nikampigia kwa hasira ndo kunipa maelezo kuwa kaniamsha sana lakin sijaaamka.
Ngoja nikate tu story maana ni ndefu sana ila kumbe yule binti alikuwa amezaliwa na ngoma nilikuja jua baada ya siku kama mbil mbele baada chrismas ,aiseee ikabid nimuite yule bint moja kwa moja zahanat ,akawa ana hof kwann tunaenda zahanat nikamwambia we twende tu kupima ngoma ikaja nzima nzima bila chenga aiseee .
Ilikuwa 2017 hiyo saiz huyo bint amezalishwa na wadau na kaisha balaa yaan ngoma ndio imeonekana waz baada ya kuzaa ,ila tokea hapo sili demu bila condom imefika muda saiz naona kawaida tu kutumia condom .
Alaf hivyo vipimo usiviamin sana labda vile vya pembe tatu ndio vinaweza kuonyesha ngoma hata kama mtu ameopata asubuh na hivyo vipimo havipatikan hovyo maana vinatumika kwa watu ambao ni complicated kwenye majibu ya vipimo vyao.
Halafu kuna fal* anaikandia Pombemkuu inabidi uanzishe uz/stori "jinsi nilivyonusurika ngoma kwa mtoto mbichi,dompo imeniokoa"
Hawatakua single maza.Kwa hiyo una mpango wa kutengeneza single mothers wanne...
Unasikitisha sana...
Hawatakua single maza.
Watoto nibakia nao mimi then wao wanaenda kuolewa.
Na hizo hazitoingia bahati mbaya.
Itakua ni full makubaliano.
#YNWA