Nilisoma Science O'Level nikaenda PCB advance na Chuo Nilisoma Clinical officer mwaka mmoja then nikaona Chuoni sielewi (moyo unaongea huku sio kwako) nikaamua kusepa kwenda kusoma biashara. ( Si unajua familia zetu za kitanzania, baba na mama ndio wanakipangia cha kusoma bila kusikiliza moyo wako), THE REST IS HISTORY.
Then elimu ya afya (ile base) nadhani ninayo nzuri tu.
Sijakwambia situmii Condom nimekwambia napenda kavu, ili tupige kavu lazima tupime kwanza.
Na sio mara MOJA tu, Ni kwamba leo tunapima tunapiga kavu, wiki ijayo tunapima na kupiga kavu.
Sijawahi kumwamini mtu mimi eti kisa mpole, sijui mzuri. AFYA YANGU KWANZA.
Yaani nikikutana na demu leo tukapima na kupiga kavu sio tiketi ya kupiga kavu wiki ijayo, wiki ijayo tutapima Tena.
Kila wiki tutapima.
Na DUNIA ya sasa ilivyo ya wanapenzi wa kugawa hivi mautamu ya chupi, hata kama nimekupendaje sijui tuna mahusiano gani ila LAZIMA NIPIME NA WEWE FREQUENTLY, maana ambacho kimenishinda kwenye hii dunia ni kumwamini mwanamke eti kisa NAMPENDA.
Mimi kumwamini mwanamke then kuingia nae kitandani bila kupima kisa ni mchumba angu is a BIG NO.
Kama vipimo vikiisha basii CONDOM INAHUSIKA, hata kama sijui ni wapenzi wa muda mrefu ""Mi najua jana ulilala na nani, na kwanini nikuamini hukulala na mtu?""
Kauli mbiu yangu:-
Jipende kwanza wewe ACHANA NA KUJIFANYA UNAFIA MAPENZI NA KUMWAMINI MTU ETI KISA UMEMPENDA.
#YNWA
Hongera sana kwa kuwa na kipimo cha hepatitis b na c pia nyumbani..mpaka unakula mademu wa badoo kavu kavu