Mbona cjakuelewa mzee?
Hahaha no mimi siko hivo just for leisure.Na ushawahi kusikia wakimbizi wa Africa wanazamia Urusi?ile nchi inasheria kali sio kama UK.Kuna watu wanataka wafike tu ulaya kwa njia yeyote ile then baada ya hapo wanajilipua I mean wanaishi huko huko illegally!
ukiwa na HIV huwezi kwenda urusi?
Hahaha no mimi siko hivo just for leisure.Na ushawahi kusikia wakimbizi wa Africa wanazamia Urusi?ile nchi inasheria kali sio kama UK.
Lakini sikulazimishi kama unafikiria mimi ni Muongo basi nifikirie hivyo hivyo tu haina shaka.Natamani siku nitakayosafiri unisindikize Airport.
Sikujui lakini Dhamiri yangu inaniambia Hivyo Kwamba Wewe Ni Muongo!
Angalie tu usiende manila Philippines utaishia kuwa 'walinazi' manake kule wamejaa wengi sana.
Kama ni leisure nenda malaysia mkuu...ni pazuri sana
Pako poa sana me nilikuwa kwenye lile jimbo la Kiev nipoa sana kaka na hasa kwa totozi ila kama ukijitambulisha ur from amerika utaenjoy sana coz wanajua unampunga ila ukisema ur hom place ni tz au east afrika wengiwao hawapajui wanajua sanasana Kenya kaka,jiandae kutengwa kila uendapo kwani hata pesa ukiitoa kwajili yakupata huduma inakaguliwa utadhani nini vile wanaamini sisi wa afrika sijui ni wezi au hatubahadh yakuwa kule ila nipoa tu mwanangu siumesema utakomaa ukifika utupe mrejesho plz.safarinjema mpwa.
Angalie tu usiende manila Philippines utaishia kuwa 'walinazi' manake kule wamejaa wengi sana.
Unaenda mji gani??
Karibu Moscow City.
Njoo na hela za kutosha usije ukalala nje kwenye barafu kila kitu kinaenda kwa procedures,kama unaenda kwa kutalii tu piga cost ya hotel na na matumizi ya siku uyakazoishi.Sasa hivi kuna baridi hali ya hewa haitabiriki na kuna barafu za kushtukiza.
Kuhusu visa kwanza hangaikia invitation kama una passport,ukipata invitation uende angaza kupima H.I.V utalipia fomu ya majibu kwa 20,000,nakushauri nenda hospitali ya Mnazi Mmoja,ukipewa hiyo fomu hapo hapo uwaambie wakupe chanjo ya Yellow fever,utalipia kadi 5,000 nadhani,then kabla ya kwenda ubalozi wa Russia nenda Russian Culture ipo karibu na Agha Khan hospital uwape hiyo fomu ya H.I.V test,kama ni express watakutafsiria kwa kirusi kwa sh 30,000 ,wakitafsiri majibu yako yaliyogongewa mhuri na saini unatakiwa uende ubalozi wa Russia,upo karibu na Ubalozi wa Ufaransa,ukitoka posta unaelekea mpaka Salenda bridge,au unaweza kupanda daladala ya posta-mwenge kisha unashukia ubalozi wa ufaransa au karibu na Stanbic Bank.Ukifika hapo ubalozini kwao uwape invitation ukiwa umeambatanisha vipimo vya H.I.V vilivyotafsiriwa kutoka Russian culture,kama utataka Express visa utatoa sh 1,59,000.
Utakuwa umemaliza kila kitu.
Karibu Russia,hakuna ubaguzi ila kama we mbaguzi utahisi unabaguliwa.
Nenda:
- Bahamas
- Marbella - Spain
- Mauritius
- Bali
- Malibu
- Miami
- Barbados
- Morroco
- Cape Town
- Copa Cabbana
- Ipanema
- Sao Paulo
- Malta
- Monaco
- Dubai
- Basi hata hapo zanzibar
Ila kwa russia sikuungi mkono hata kidogo
Nimependa Sana ufafanuzi Wako!
Ni watu wachache Sana waliopo JF kwa sasa wawezao kumuelewesha mtu namna hii.
Endelea hivyo hivyo kiongozi!!
Ahsante mkuu safari nmepanga mwezi wa sita.Ila nenda uko uko mkuu, kila la kheri sana uje utupe fdbk
Thanks kwa kunitia moyo nmeipenda Urusi.Kuna rafiki yangu naye alienda last year for leasure alikaa 1 week na alienjoy. Tafuta agency hapa bongo yeye atatafuta agency kule watakuunganisha na utapata invitation. All the best.