My trip to Russia

My trip to Russia

Nenda:
  • Bahamas
  • Marbella - Spain
  • Mauritius
  • Bali
  • Malibu
  • Miami
  • Barbados
  • Morroco
  • Cape Town
  • Copa Cabbana
  • Ipanema
  • Sao Paulo
  • Malta
  • Monaco
  • Dubai
  • Basi hata hapo zanzibar

Ila kwa russia sikuungi mkono hata kidogo
Thanks for advise lakini nmekutamani Urusi.cjawahi toka nje ya Africa I think it will be my first country abroad of Africa.
 
Unaenda mji gani??
Karibu Moscow City.
Njoo na hela za kutosha usije ukalala nje kwenye barafu kila kitu kinaenda kwa procedures,kama unaenda kwa kutalii tu piga cost ya hotel na na matumizi ya siku uyakazoishi.Sasa hivi kuna baridi hali ya hewa haitabiriki na kuna barafu za kushtukiza.

Kuhusu visa kwanza hangaikia invitation kama una passport,ukipata invitation uende angaza kupima H.I.V utalipia fomu ya majibu kwa 20,000,nakushauri nenda hospitali ya Mnazi Mmoja,ukipewa hiyo fomu hapo hapo uwaambie wakupe chanjo ya Yellow fever,utalipia kadi 5,000 nadhani,then kabla ya kwenda ubalozi wa Russia nenda Russian Culture ipo karibu na Agha Khan hospital uwape hiyo fomu ya H.I.V test,kama ni express watakutafsiria kwa kirusi kwa sh 30,000 ,wakitafsiri majibu yako yaliyogongewa mhuri na saini unatakiwa uende ubalozi wa Russia,upo karibu na Ubalozi wa Ufaransa,ukitoka posta unaelekea mpaka Salenda bridge,au unaweza kupanda daladala ya posta-mwenge kisha unashukia ubalozi wa ufaransa au karibu na Stanbic Bank.Ukifika hapo ubalozini kwao uwape invitation ukiwa umeambatanisha vipimo vya H.I.V vilivyotafsiriwa kutoka Russian culture,kama utataka Express visa utatoa sh 1,59,000.
Utakuwa umemaliza kila kitu.

Karibu Russia,hakuna ubaguzi ila kama we mbaguzi utahisi unabaguliwa.
Mkuu unaishi Russia?
 
Thanks for advise
lakini nmekutamani Urusi.cjawahi toka nje ya Africa I think it will be
my first country abroad of Africa.

Uzuri wa Russia ni wanawake wao, fika S.t. Petersburg, utatamani usirudi coz utagombaniwa ila uende na helmet ya chuma na usipende kutembea usiku peke yako.
 
Mi naskia tuuu! Ila waliofika watashauri vizuri.... naskia hapako salama sana kwa sababu ya ubaguzi wao, kama ni kwa leisure kwa nini uende sehemu ambapo unaweza usiwe huru kula raha? Unless ungesema unaenda just for exposure ujue nako kunafananaje...ila kama ni leisure mkuu sidhani kama panafaa
Kama leisure nenda Thailand,hakika utatamani uhamie huko
 
Habari zenu ndugu zangu wa jf.mimi humu ni mgeni ila nmekuja huku kufuata advice yenu.

Naombeni ushauri juu ya nchi hii ya Russian nna mpango wa kwenda for leisure 2 weeks.najua watz huko hawakosekani.Je visa zake hazisumbui kama za uk?Hotels?nategemea kwenda miji mitano.

Naskia kuna ubaguzi mkubwa ila mi ntakomaa tu.

Naombeni ushauri kwa wazoefu.

Nawasilisha

Wewe Ni Muongo!

 
Angalie tu usiende manila Philippines utaishia kuwa 'walinazi' manake kule wamejaa wengi sana.
 
huyu sio yule aliyesema anataka safiri border to border hadi Ghana akawa anawaambia watu wana minyoo? au nhs atakuwa matipo yake!
 
Wewe unanijua mimi ni nani?Tunafahamiana?ushawahi kuniona.Mimi ckujui sasa kwa nini unaniita muongo.Hem angalia heshma yako.thanks

Sikujui lakini Dhamiri yangu inaniambia Hivyo Kwamba Wewe Ni Muongo!

 
huyu sio yule aliyesema anataka safiri border to border hadi Ghana akawa anawaambia watu wana minyoo? au nhs atakuwa matipo yake!

Hapana!! Hawezi kuwa huyu bwana, yule alikuwa ama minyoo kama tuhuma zake kwa wengine. Huyu ana uungwana na ustaarabu wa kutosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom