My thoughts, what are yours?

Ha ha ha kuna vitu vingine kama hivi siku vikija huku kwetu patakuwa hapatoshi
 

Duh hili ni balaa
Yaani umekaa nae miaka yote haujui uanamke wa mke wako uko wapi
And the mean here ni kwamba mwanaume hajaona utofauti wake yeye na mkewe theye are like the same
 

Leo ulikoamkia... uwe unaamkia huko huko... I like what umesema...


Tatizo ndio linakuja hapo... haya mambo hayaendeshwi kwa Formulae... kitu kikubwa upate mwenza mwenye madhaifu (for nobody is perfect) but muelewa na anajua umuhimu wako then mengine yanakua rahisi hata kuvumilia... Watu wamesahau the way MARRIAGE INSTITUTION ni holy...Umuhimu wa kugombea this institution i-succeed at all cost once you are in it... na umuhimu na end result ya huo uvumilivu - It is worth it, But how ever huweza lazimisha and it takes two to tangle... maana speaking from experience you can do that and still ukaonekana ni mpumbavu; na ukaonekana wa maana when you are already fade up...
 
Ha ha ha kuna vitu vingine kama hivi siku vikija huku kwetu patakuwa hapatoshi

But mkuu why not tusiwe navyo
Kwa nini ushindwe kukaa na mkeo yaani mnapendana mpaka inafikia kipindi mnajiona kama hamuishi duniaini ila mko somewhere else kusiko na shida
Yaani mnaishi mpaka watu wanawatamani waishi kama nyie wanauliza siri yenu ya kuelewana ni nini
Yaani mnasolve matatizo yenu ya ndani bila hata watoto kujua
Tofauti zenu za kimtizamo hakuna mtu anayezijua
Yaani mnaishi the way mlivyoapa kwa shida na raha wattoto hawajui siku gani baba aliwahi kuishiwa maana mnayamaliza humo humo ndani au ni siku gani baba na mama waligombana
 
Duh hili ni balaa
Yaani umekaa nae miaka yote haujui uanamke wa mke wako uko wapi
And the mean here ni kwamba mwanaume hajaona utofauti wake yeye na mkewe theye are like the same
Dah!!! Mkuu kuna visa ukivisikia unaweza kusema labda watu walikuwa wamevuta bangi, kumbe la hasha ni watu na akili zao timamu
 
Umenikumbusha 80 Percent vs 20 Percent


Hivi ilikua thread gani?? Nimesahaua - i just remember it was one of those Great discussions... In fact PA the perfect fit was 60% Vs 40%... ikiwa too disparse the other anakua mzigo... ni stress kwa 80% for the other anakua treated as if ni mtoto sasa.... Nani anataka aishi na mtoto badala ya partner...lol
 

Thank you a Lot AshaDii
Well said and ready to fulfil it in my own marriage



Tatizo liko hapo kujua kuwa taasisi ya ndoa ina umuhimu gani na je anayeingia humo anajua umuhimu wake na anajua wajibu wake
Unaposhindwa kujua umuhimu wako kwenye taasisi hii ni lazima utakuwa unapwaya na utakua hujui wajibu wala dhima nzima ya kuingia humo
Jiangalie wewe je ni mkamilifu
Je wewe una mapungufu gani na je uko tayari kuambiwa kuwa haya ni mapungufu yako na uko tayari kuishi kulingana na mapungufu yako na kujitahidi kukabiliana nayo hata kuyaoindoa ikibidi
Je unajua mwenza wako ana mapungufu haya na haya na uko tayari kuyaelewa na kukabiliana nayo
Hapo ukishaelewa sema sasa kwa Shida na Raha till death do us apart na usisome kama maandishi bali maanisha
 
<br />
<br />

Hii mamii nimeipenda....
Ukijitambua tu kuwa hata wewe una mapungufu yako basi unaweza kumvumilia mwenzio na yake (ofcoz yapo yasovumilika)

Wadada wengi ni mabingwa wa kutoa 'risala' (sijui ni asili yetu) ila binafsi huwa inanipa nafuu sana (sipendi kuweka kutu kwenye moyo). Na hilo linasaidia kuimarisha upendo wangu kwa mwenzangu kwa kweli.

(mada ni nini tena TF?)

Well, binafsi naona msingi mkuu hapa ni upendo, uvumilivu na heshima baina ya wawili. Hii naamini intani guarantee furaha ya kweli.
Kuna watu wana fedha na mali na hawana furaha kwenye ndoa na mahusiano yao. Sasa pesa ni ya nini hapo?
 
Najaribu kuikumbuka lakini bado sijaipata
 
Duh hili ni balaa <br />
Yaani umekaa nae miaka yote haujui uanamke wa mke wako uko wapi<br />
And the mean here ni kwamba mwanaume hajaona utofauti wake yeye na mkewe theye are like the same
<br />
<br />

Mkubwa penzi likiingiaga dosari ni heri ukoroge acid na maji ya betri pamoja! Maneno unayoweza kusikia watu wakisemezana utashaa...
 
Labda tufanye kwa matakwa yetu wenyewe tu

Aisee nidai lunch for this useful post
 
<br />
<br />

Mkubwa penzi likiingiaga dosari ni heri ukoroge acid na maji ya betri pamoja! Maneno unayoweza kusikia watu wakisemezana utashaa...

Usifikie kuichukia ndoa yako
Kwenye ndoa kila siku ni mpya katika maisha yako na ndoa yako ni changa hata kama ina miaka ishirini
Yafanye yale uliyokuwa unafanya kwenye uchumba na hutaichoka ndoa
Sio mmeoana outing kwishney, maua kwishney, maneno yale ya kimapenzi kwishey, kusaidiana kati yako na mke/mume wako ndani ya nyumba ndo mwisho, yaani ndani ya nyumba kunabaki na amri tuu na matusi
Ndoa lazima itakuwa chungu
 
Labda tufanye kwa matakwa yetu wenyewe tu<br />
<br />
<br />
Aisee nidai lunch for this useful post
<br />
<br />
Nimefunga sita, nifuturishe movenpick jioni...lol!

Nothing gives me joy in the heart as being in an understanding with my man...si najiskia dunia ni mali yangu?!!
Kinyume na hapo, I tell you hakuna hata kinachoshuka aisee....ndio maana mm nasema hayo mambo ya hela and stuff haviniingii akilini!

Hata nikila tembele na dagaa kama nina furaha akhaa sina shaka mie, sasa ww mwenye kila kitu chako na moyo umegubikwa na wimbi la simanzi kuna manufaa gani?

Anyway, tunatofautiana sana aisee! Wengine nyumba zao hazijengengeki bila faranga za kutosha (that is their happiness may be)
 
Kwa comment hii lunch sio Movenpick tena nimehamisha itakuwa Seychelles nimeishafanya booking ya ndege
 

BHT nimeipenda sana sana
Kuna watu wanawaza kuwa ndoa ni kuwa na mali na kuishi maisha ya kifahari au maisha ya juu wanasahau kuwa ndoa ni upendo ndoa ni amani ya moyoni ndoa ni zaidi ya kula vizuri na kuwa na maisha ya juu
Pesa na mali ni supliments tuu kwenye ndoa la muhimu ni ile upendo na amani ndani ya nyumba hata kama mnalalia dagaa na matembele ila amani na upendo ukiwepo kila mtu atatamani maisha yenu
 
Nasahau swali moja kubwa sana hapa
TF uko kwenye ndoa au ndo unachukua uzoefu hapa kujiandalia maisha ya ndoa
 
Comment ya BHT has just made my day
 
Nasahau swali moja kubwa sana hapa
TF uko kwenye ndoa au ndo unachukua uzoefu hapa kujiandalia maisha ya ndoa
Ha ha ha nilijua tu at any time ningekutana na swali hili lol, Mkuubado banaa ndio tunachukua mauzoefu kujiandalia maisha ya ndoa
 
Ha ha ha nilijua tu at any time ningekutana na swali hili lol, Mkuubado banaa ndio tunachukua mauzoefu kujiandalia maisha ya ndoa


Nashangaa mkuu umejieleza na unazidi kujieleza as if uko kwenye ndoa
Ila just note that marriage is how u make it in your own way na sio kuiga BHT au Rocky au AshaDii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…