klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,147
Hii lazima atakuwa ameitoa kwenye gazeti la The African. Wale jamaa wa The Guardian hawajui kimombo cha namna hii bana...khaa!....Nimejaribu kucheki na google nao nikaambiwa watanitafsiria hicho kiinglishi baada ya wiki mbili. Wanalazimika kuwasiliana na Oxford Yunivasite kitengo cha Kiinglish toleo la Kiranga.
In a successful marriage home is your favorite place to be. Not that "home" here is not the same thing as house', house is where you live; home is what you live in. A house is built by sand, cement and water while a home is built by Love, peace and joy. ...
Unafikiri mimi Hashycool aliyejifanya anajua kuongea kirusi baada ya kukamatwa border anatuita tumtoe selo
A home is built by MONEY; love, peace and joy ni matokeo.
Dah.........nlichotaka kusema, kashanisemea fellowa tablet hapa chini..........ngoja nikawahi chungu cha mwishoA home is built by MONEY; love, peace and joy ni matokeo.
Dah! sichakachui sredi tena sasa, sheria za JF haziruhusu kuchakachua sredi ambayo Freema Agyeman au MJ1 amechangia.
baadae wakuu
Hata HELA ni matokeoA home is built by MONEY; love, peace and joy ni matokeo.
Hata HELA ni matokeo
Nasikia Michelle ameenda kuongeza nguvuhehehe huyo jamaa sjui watamuachia lini aisee! kesi yake nzito, kumbe pia alikuwa anafanya magendo ya kusafirisha vitabi vitakatifu bila kibali
Sina cha kuongeza hapa mkuuKweli kabisa
na naomba nitofautiane na msemaji hapo juu
Nyumba inajengwa kwa upendo, amani na furaha
Yakiwepo hayio pesa ni matokeo maana kuna couple hazina pesa ila zinaishi kwa amani , furaha na upendo maana wanaridhika na wanapambana ku9yaweka maisha yao mahali pazuri
<br />Mkuu unapooa au kuolewa na mtu unajikuta katika new family ambayo ina taratibu na mambo yake<br />
U can not change the world in one day <br />
Mambo ya kusema ulinikuta nalala kuelekea kaskazini siwezi kubadilika na kulala kuangalia kusini hayo ni mambo ya ajabu<br />
Uko kwenye himaya mpya and new family and u have to follow kile ulichokuta kule<br />
Ndo maana tunaoana ili mimi na wewe tutengeneze familia na hiyo familia ije ituone sisi ni wamoja<br />
Usitegemee baba aende kaskazini na mama aende kusini then useme hapo kuna familia
Sawa kabisa mkuu <br />
Ni lazima muwe na mawazo yanayoendana na muwe na nia moja katika kuijenga familia sio kila mmoja anaelekea kwake then mtegemee ndoa na familia njema
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mawazo yanayoendana na kukubaliana kwenye mambo ya msingi ndio mwanzo wa kujenga familia bora.
Hahaha! Mkuu kuna nyumba ya jirani hapa wanapika pilau ndio nasubiria kuzamia ingawa sijapewa kadi<br /><br />
<br /><br />
Tf Eid Mubarak. Uwe na sikukuu njema japo hata pilau umekataa kunialika
Thank you Techman for your comments<font color="#000080"><b>There are two things start before marriage, Love or admire. If marriage comes from the admire doorway, it wont survive long, or if it will, they will be a hell on it. The one which comes from LOVE will last long, <br />
Because:<br />
<br />
Love is patient, Love is kind, It does not envy, it does not boast, it does not proud, it does not rude, it is not self-seeking, it is not easily angered, it keeps no record of wrongs. Love always protect, Always trusts, Always hope, Always perseveres. <br />
LOVE NEVER FAILS</b></font>
Hahaha!!! Mbona haujanipa mwaliko wa kuja HungumalwaMbona lizzy jana alikupa mwaliko bana au ndo janja ya kuniondoa nisije
<br />Hahaha!!! Mbona haujanipa mwaliko wa kuja Hungumalwa