My sad story, Let's share with all of u

Kaunga,kuhusu maisha ya kimapenzi,kwa sasa sina girlfriend,lakini sio kwamba sina kutokana na yaliyonikua la hasha,sina coz sijapata wa kunifaa!
 
Pole sana,

Kuishi kwingi ni kuona mengi...Wale ambao mimba zilichomolewa au hawakupa bahati ya kutoka nje ya kuta za labour room hawakuyaona haya.

Mshukuru Mungu wako kwa kila jambo!
 
Kaunga,kuhusu maisha ya kimapenzi,kwa sasa sina girlfriend,lakini sio kwamba sina kutokana na yaliyonikua la hasha,sina coz sijapata wa kunifaa!
God willingly utampata! Goodluck!
 
Dark City,ndo maana nimeliweka hapa hili jambo ili kila mmoja ajionee na ajifunze kwa wakati wake na wale walio kwenye kadhia hii niweze kuwatia moyo kuwa inawezekana kurudia hali ya kawaida na ukafurahia maisha pia!
 
La muhimu just move on with your life now and never think about such incidence again.fanya kama ni tukio lililopita ambaloo liliyakuta maisha yako na limepita
I knw,an that what i'm doing 4 two years an half!
 
It was 2007....Mapenzi yetu yalikuwa mazuri(kwa kiwango cha ufaham nilichokuwa nacho)nilimpenda ila yeye hakunipenda kama nilivyodhani!.....Tulikuwa karibu sana na kutokana na baba kulazwa hosptl kwa maradhi ya moyo kila nilipoenda kusalimia baba nilikuwa nae......Ilikuwa ni tarehe 14 July 2007 mchana nilipojulishwa kuwa Dad pass away!Nilichanganyikiwa lakini baada ya nusu saa nilirudi kawaida,nilienda hosptl nikakuta baadhi ya ndugu,mwili ulihifadhiwa vizuri,nikampigia mpenzi wangu nimjulishe hakupatikana,baba yangu mdogo akaniambia niende kwa kaka yangu nikamjulishe kwani hakuwa anapatikana,.....Nilifika kwa bro akanikaribisha nilipita mpaka chumbani kama nilivyoea(alikuwa hajaoa)ndipo nikakutana na balaa,my biological brother alikuwa ndo anavaa bukta halafu mpenzi wangu alikuwa kajifunika shuka tu na wote walikuwa wanatoka kijasho!Kuashiria walitoka kwenye "Game",sikumbuki kilichoendelea kwani nilipopata fahamu nilikuwa nimelala chini nikipepewa,niliondoka na kuelekea msibani....,.Tulimaliza msiba lakini kwa mateso na maumivu,yule ex wangu sikumwona msibani pia sikuzungumza chochote na bro!Ndipo bro aliniomba tuzungumze,aliniambia kuwa nimsamehe,pia akaniambia walikuwa kwenye mahusiano kwa miezi miwili,niliumia sana,sikua na jinsi nilimsamehe kwa maumivu makubwa,kwani pamoja na yote bado alikua ni kaka yangu tu!Ilipita miezi miwili nilibadili namba simu na nilihama nilipokua naishi kwani ex alianzisha usumbufu!I had a bussines,na mahali ilipokuwa nilipanga niihamishe kuepuka usumbufu wa ex,nikiwa kwenye mchakato huo ndipo asubuhi moja nikakuta duka jeupe limeibiwa lote!!Katika kufuatilia nikaja kuambiwa kuwa ule ulikua ni mpango wa ex,lakini kulikuwa hakuna ushahidi wa kumtia hatiani,NILICHANGANYIKIWA,nilipata ushauri wa kila aina na baada ya miaka 2 nilipona,nimeingia kwenye maisha upya na nimesahau yote,naanza moja!...,.Najua wapo wamepitia kwenye changamoto zaidi ya hizi au wapo walioko kwenye changamoto,nimeamua kushare nanyi ili kama yupo wa kujifunza kupitia mimi basi na ajifunze,changamoto hizi zimenipa uzoefu mkubwa japokuwa nimepitia maumivu makubwa,.Wewe mwenye changamoto,jipe moyo hakuna kisichokuwa na mwisho,chukulia hiyo kama shule ya kujifunza japokuwa unajifunza kwa maumivu makubwa ya hisia na mwili,niliekuwa namuita mpenzi amenidisha nyuma,KUWENI MAKINI,i love u all!



Eiyer my brother your story is so heart breaking...

Pole kwa kumpoteza baba... Mwenyezi Mungu ailaze roho yake pema peponi...
Pole kwa kashi zote ulizopita... imenigusa saana na nashukuru umeshea...
Kikubwa ni kujifunza tokana na experience na usikate tamaa ya kumpata (kama bado)
mwanamke mwingine atakae kupenda kwa dhati... Hongera mpaka ulipofika maana
mpaka umeweza itoa ina maana at least you have moved on....

Pamoja saaana
AshaDii..
 
pole sana mkuu na thanx sana kwa kushare , Mungu azidi kukubariki na kukufanikisha, I have a friend ambaye aligundua girfriend wake alikuwa anatembea na baba yake mzazi, ilikuwa shocking na ilimuumiza sana, so i can imagine maumivu uliyoyapitia
 
Dada uckonde,nimepokea pole zako na nimefarijika sana,kwa sasa nipo peke yangu ila nitakapopata nitakuwa mwangalifu sana,yaliyopita yamepita kwa sasa naangalia mambo mengine!THANX MUCH MA LOVELY SISTER!
 
pole sana mkuu na thanx sana kwa kushare , Mungu azidi kukubariki na kukufanikisha, I have a friend ambaye aligundua girfriend wake alikuwa anatembea na baba yake mzazi, ilikuwa shocking na ilimuumiza sana, so i can imagine maumivu uliyoyapitia
Thanx much!May God be with us!
 
It was 2007....Mapenzi yetu yalikuwa mazuri(kwa kiwango cha ufaham nilichokuwa nacho)nilimpenda ila yeye hakunipenda kama nilivyodhani!.....Tulikuwa karibu sana na kutokana na baba kulazwa hosptl kwa maradhi ya moyo kila nilipoenda kusalimia baba nilikuwa nae......Ilikuwa ni tarehe 14 July 2007 mchana nilipojulishwa kuwa Dad pass away!Nilichanganyikiwa lakini baada ya nusu saa nilirudi kawaida,nilienda hosptl nikakuta baadhi ya ndugu,mwili ulihifadhiwa vizuri,nikampigia mpenzi wangu nimjulishe hakupatikana,baba yangu mdogo akaniambia niende kwa kaka yangu nikamjulishe kwani hakuwa anapatikana,.....Nilifika kwa bro akanikaribisha nilipita mpaka chumbani kama nilivyoea(alikuwa hajaoa)ndipo nikakutana na balaa,my biological brother alikuwa ndo anavaa bukta halafu mpenzi wangu alikuwa kajifunika shuka tu na wote walikuwa wanatoka kijasho!Kuashiria walitoka kwenye "Game",sikumbuki kilichoendelea kwani nilipopata fahamu nilikuwa nimelala chini nikipepewa,niliondoka na kuelekea msibani....,.Tulimaliza msiba lakini kwa mateso na maumivu,yule ex wangu sikumwona msibani pia sikuzungumza chochote na bro!Ndipo bro aliniomba tuzungumze,aliniambia kuwa nimsamehe,pia akaniambia walikuwa kwenye mahusiano kwa miezi miwili,niliumia sana,sikua na jinsi nilimsamehe kwa maumivu makubwa,kwani pamoja na yote bado alikua ni kaka yangu tu!Ilipita miezi miwili nilibadili namba simu na nilihama nilipokua naishi kwani ex alianzisha usumbufu!I had a bussines,na mahali ilipokuwa nilipanga niihamishe kuepuka usumbufu wa ex,nikiwa kwenye mchakato huo ndipo asubuhi moja nikakuta duka jeupe limeibiwa lote!!Katika kufuatilia nikaja kuambiwa kuwa ule ulikua ni mpango wa ex,lakini kulikuwa hakuna ushahidi wa kumtia hatiani,NILICHANGANYIKIWA,nilipata ushauri wa kila aina na baada ya miaka 2 nilipona,nimeingia kwenye maisha upya na nimesahau yote,naanza moja!...,.Najua wapo wamepitia kwenye changamoto zaidi ya hizi au wapo walioko kwenye changamoto,nimeamua kushare nanyi ili kama yupo wa kujifunza kupitia mimi basi na ajifunze,changamoto hizi zimenipa uzoefu mkubwa japokuwa nimepitia maumivu makubwa,.Wewe mwenye changamoto,jipe moyo hakuna kisichokuwa na mwisho,chukulia hiyo kama shule ya kujifunza japokuwa unajifunza kwa maumivu makubwa ya hisia na mwili,niliekuwa namuita mpenzi amenidisha nyuma,KUWENI MAKINI,i love u all!
wewe ni mwanamke au mwanaume? Maana unadai "alikuwa hajaoa" ulikuta kaka ako anavaa bukta, inaonesha wewd ni mwanamke na hao walikuwa na uhusiano wa kishoga, ebu niweke sawa.
 
Kweli hujafa hujaumbika! Pole sana kaka na hongera kwa moyo wa ujasiri. Kitu kizuri ni kwamba now u have moved on, this is a good lesson kwa wote wanaokata tamaa mapema na wengine hata kutaka kujiua. Thanks for sharing dear, God bless u!
 
Thanx Kipipi,natumai wamejifunza na tumejifuza wote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom