EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Nimegundua siku za hivi karibuni kama nimeanza kubadilika hivi so nimeamua kufanya maamuzi magumu kama ifuatavyo,
Mwisho nawaageni rasmi jukwaa hili kwa muda kadhaa ntakuwa napita tu kuwapa hi.......
- Ntajikita zaidi kwenye kutoa maneno yenye busara na ushauri wa kina kwenye mambo mazito (Ntakuwa zaidi kwenye majukwaa matatu, MMU, Siasa na Great Thinkers)
- Ntapunguza sana utani ikiwa na maana kwamba ntapunguza sana uwepo wangu kwenye kajukwaa haka
- Ntaruhusu maswali yanayohitaji ushauri wa kina basi
Mwisho nawaageni rasmi jukwaa hili kwa muda kadhaa ntakuwa napita tu kuwapa hi.......