unapenda sana kuchangia kwa kidhungu,we kwenu UK mkuu??
Yes, I was born and raised in Stratford-upon-Avon.
i have got to emulate you anyway! i bet its the only way to get along with you!
I can basically schmooze with just about anyone on just about anything - from MMA, pumping iron, politricks, geopolitricks, music, haute cuisine, nouvelle cuisine,
ivi wanawake wa hivi mpo kweli..? au ndo unamuundia jamaa zegwe..?
inawezekana mkuu mana humu JF kila kitu ni fake! ID fake,avatar fake,kazi fake,makazi fake,mahusiano fake,ushauri fake! BUT naamin wanawake wa hivi wapo wengi tu sema usawa ndo tatizo!
No, you have to balance, otherwise you will end up being like a machine. Spending your entire life for nothing, while the other part enjoy the moment(life).
why,huoni kupumzika na kuenjoy maisha out of work ndo kuishi vizuri kwenyewe mkuu?
Jifunze kidogo kuhusu kazi yake
na wajue watu anao fanya nao kazi
ili uweze kumsaidia kwenye decision making....
ili muweze kuwa na kuongea ..ataweza kukushirikisha
mfano annaweza kukupa story ya watu wa ofisin
ukiwa unawajua japo sura utaweza say something kwa jinsi ulivyowasoma sura zao tu
au kama kuna decision inamsumbua kichwa unaweza ongea kitu
that way akiona unajua something utaweza kumshawishi kupunguza masuala ya kazi
sio sifa kuwa workaholic Tanzania hasa kama umeajiriwa...
workaholic nzuri ni ya kujiajiri
kama vipi achana nae maisha yenyewe mafupi yeye yupo busy hata kufaidi hafaidi
"ananiweka mjini" kwa hii phrase yako inaonekana wewe ni gold digger either consciously au sub consciously, kabla hajakuoa bila shaka we ulikuwa muuza nyapu...
Daaah huu ushauri aibu naona mim hakyamama
hahahaaaaaaa can't you put them in simple language?amazing!
kama vipi achana nae maisha yenyewe mafupi yeye yupo busy hata kufaidi hafaidi
mkuu mkeo ni wa kizazi hiki cha nyoka-i mean age!??vyovyote hongera kwa kupata MKE anaejua wajibu wa kua MKE wa mtu!maisha mema